commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
badala ya kusifia wizi umegunduliwa nyie mnapindisha maneno. Miaka iliyopita tulisikia watu wakilizwa shaba zao uliona mtu kushikwa? Funguka. Huo wizi mpaka zambia wakasusa kupitisha shaba zao hapa hakuna aliyekamatwa, sasa tunaona kikwete akiwashika, si hao tu, juzi juzi tuliona shaba imekamatwa morogoro. Na bado mtazidi kumchukia kwa kufichuwa madudu yenu.
wewe toa mapovu tu, wewe, jk na wenzio (nyinyiemu) woote ni dhaifu tu,na kuna siku yaja ambapo mtaturudishia tanganyika na tutawanyonga mchana kweupe. Piga keleeleeeeeeee lakini ujue siku yaja mark my words. Tanzania ni ya watanzania woote na sio ya kikundi kidogo cha watu.