Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
Dah, nimechaka kweli leo japo tuna majonzi ya kuondokewa na Kanumba...Katika kipindi cha mkasi ambacho kimerushwa maalumu coz ilikuwa wakati Lulu anahojiwa...Huwa kwa chini pembeni kuna Methari za kizazi kipya na moja iliyonifanya nicheke ni hii...
"ASIYEFUNZWA NA MAMAYE, UJUE MAMAKE HAKUWA MWALIMU"
"ASIYEFUNZWA NA MAMAYE, UJUE MAMAKE HAKUWA MWALIMU"