Bora lile neno angetamka kwa mkewe ila sio mbele ya hadhara, ametutia nuksi.Kwa heshima kuu,
Waliokaribu na Mzee Mwinyi, watuombee sisi Watanzania kwa Mzee., ili neno au nuksi la kichwa cha mwendawazimu kila mtu hujifunzia kunyoa, sasa muda wa kuliondoa umefika la sivyo tukiendelea nalo bila muhusiko kuliondoa
Basi hiyo ni laana ambayo itatutafuna vizazi na vizazi,
Kumbuka hili neno Mzee alilitoa mwaka 1987, leo ni vizazi vingapi, watu wameshajukuu.
Nawasilisha