Asilimia mia moja tunapita, ila kuna sharti dogo sana

Mimi bado nabaki optimistic kwamba tutavuka hatua hii.

iko hivi mashindano yana timu 24.
Katika hatua hii zinachujwa timu 8 tu.
Timu 16 zitabaki kwa hatua inayofuata..

Kwa msingi huu, hata watakaoshika nafasi ya tatu kwny group level (watakuwa 6) wa4 kati ya 6 watafuzu straight kupitia dirisha la best loser.

Hivyo stars wetu hata wakishinda mechi moja tu watafuzu kama ilivyokuwa kwa Malawi afcon iliyopita.

Tujiepusheni na malawama ya kifala

Lawama ni lazima. Acha unafiki.
 
Back
Top Bottom