econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,992
- 22,089
Wanafungika mbonaaa
Utamfungaje. Timu ya ushindi inajulikana na timu ya kusindikiza wengine inajulikana.
Wanafungika mbonaaa
Mimi bado nabaki optimistic kwamba tutavuka hatua hii.
iko hivi mashindano yana timu 24.
Katika hatua hii zinachujwa timu 8 tu.
Timu 16 zitabaki kwa hatua inayofuata..
Kwa msingi huu, hata watakaoshika nafasi ya tatu kwny group level (watakuwa 6) wa4 kati ya 6 watafuzu straight kupitia dirisha la best loser.
Hivyo stars wetu hata wakishinda mechi moja tu watafuzu kama ilivyokuwa kwa Malawi afcon iliyopita.
Tujiepusheni na malawama ya kifala