Asilimia kubwa ya maeneo mengi Dar es Salaam yananuka

Jiji kubwa kama dar halipaswi kunukanuka harufu za uvundo wa uchafu wa aina yeyote. Ni marufuku vyoo vya mashimo. Mifereji na chemba zifanyiwe usafi kila mara.
 
Kwani ulisahau kuziba pua kama the late Michael Jackson????
Ukipanga kutembelea tena maeneo hayo ziba pua.......kwishneiiiiiii
 
🤮🤮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…