Asilimia 67 ya watanzania wenye maambukizi ya UKIMWI
Poa sana kiongoziAhsante kwa ufafanuzi mkuu.
This is correctAsilimia 67 ya watanzania wenye maambukizi ya UKIMWI
Oya unaleta za wapi hizo? Asilimia 67 sio mchezo ujue, yaani katika watu wanne mmoja anao? Acha zako
Yap yap mkuuThis is correct
Hesabu gani unapiga wewe?.67% maana yake ni watu 67 katika watu 100Oya unaleta za wapi hizo? Asilimia 67 sio mchezo ujue, yaani katika watu wanne mmoja anao? Acha zako
Uko sahihiAsilimia 67 ya watanzania wenye maambukizi ya UKIMWI
Hata akikanusha,we endelea na uzinzi tu kwa faraja ya kitambo kuwa hakuna ukimwi,au maambukizi yamepungua sana.Haita kusaidia mkuu..ukimwi upo na hauzuiliki hata kwa kondomu ya bati.Mwandishi wa habari hii hakutaka hata kutumia akili ya darasa la saba.
Prevalence ya ukimwi inatakiwa akokotoe kutoka watu 1.4 million aloyoandika wana maambukizi ya ukimwi.
Labda kama hiyo 67% ni idadi ya waathirika wanaotumia ARV.
Tumuombe Dr Abas atoe press kumuomba mwandishi akanushe uzushi wake la sivyo achukulie hatua kuandika habari ya uongo.
Hakuna nchi duniani wanaoumwa ukimwi wakafika 67% na haitatokea.
Hawa waandishi wanaweka vichwa vya habari vya kuuzia gazetiUko sahihi