kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 314
- 569
Kwa chama cha mapinduzi zaid ya 70% ni wezi na wahujumu walio jificha chini ya mwamvuli wa CCM.Unafikiri kidogo sana; CCM kama chama chenye mamilioni ya wanachama, wapenzi na madhabiki hakiwezi kuwa na watu wema tu, wapo wachache wenye dhamira mbaya.
Kama ilivyo wachungaji, mashekhe na mapadre na wazee wa kimila, wapo wengi wenye dhamira njema na wachache walio kinyume chake.
Epuka kutoa jumuisho la ujumla.
CCM ndio inayokufanya uishi kwa amani na hata kukupa uhuru wa kuandika utumbo ukumbini hapa.
Kiheshimu chama hiki kikongwe kilichosimama katika misingi ya haki na uadilifu.