asili ni dame....
Dame (title), a female title of rank, equivalent to 'Sir' used as the title of a knight
Dame - Wikipedia, the free encyclopedia
duh, asante lakini nasikia hawa wikipedia hawaaminiki sana
Yeah, wikipedia hawaminki kwa sababu ndipo TBC walipochomoa data kwamba wakristo ni wengi ukilinganisha na waislamu katika nchi hii na ndio chanzo cha waislamu kugomea sensa.........................................
Ptuuuuu!Yeah, wikipedia hawaminki kwa sababu ndipo TBC walipochomoa data kwamba wakristo ni wengi ukilinganisha na waislamu katika nchi hii na ndio chanzo cha waislamu kugomea sensa.........................................
mademu manake dame kijerumani ni bibi
Uko sahihi, lakini neno demu pia lipo kwenye Kiswahili na linaweza kumaanisha dharau dharau kama utalikusudia kwa mtu.Mi najua demu ni mtamko wa kiswahili wa neno Dame (Lady)
Ila sasa kwa kiswahili neno hili limekua very pejoraive, kama tusi.