Asili ya jina Dar es Salaam

Asili ya jina Dar es Salaam

Maukiddo

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
206
Reaction score
111
Wana JamiiForums, pale ambapo The Great Thinkers wanapokutana...

Nimeanza kuwasabahi kwa mikogo kidogo, ila mie nina langu nimekuna kichwa sijapata jibu...

Hivi hili jina DAR ES SALAAM, tamka 'Daresalaam', zaidi ya kujua ile maana ya "Bandari Salama", hivi kuna mtu humu ndani anajua ilikuwaje mpaka likaja hili jina, na ni wapi asili yake, na ni nani alipendekeza hili jina pale jijini?

Na kwa nini kusingeitwa maana ya lile jina Bandari Salama mpaka kukaitwa "DAR ES SALAAM"?

Naomba mnisaidie kunipa uelewa kidogo wadau..

Asanteni!
 
Darul - Mji
Salaam- Aman

Dar Es Salaam Ni Muunganiko Wa Majna Hayo Ambayo Walitoa Jna Hlo Waswahili Baada Ya Kuwa Na Mahusiano Ya Warabu Kuanzia Karne Za Mwanzo A.D! Sasa Ngoja Wenye Data Waje Wakupe Makubwa Zaid Mm Nmekupa Matayasar Tu!
 
Wanasema maanake Ni house of peace kwa lugha ya kiarabu.
wageni WA kwanza kufika pwani ya afrika mashariki walikuwa waarabu.
 
DAR ES SALAAM ni neno la Kiarabu…na Waarabu ndio waliolipa jina hilo ktk mji wa Mzizima

DAR-HOUSE
ES = THE
SALAAM= PEACE

DAR ES SALAAM= THE HOUSE OF PEACE
 
DAR ES SALAAM ni neno la Kiarabu?na Waarabu ndio waliolipa jina hilo ktk mji wa Mzizima

DAR-HOUSE
ES = THE
SALAAM= PEACE

DAR ES SALAAM= THE HOUSE OF PEACE

Duh!!,asante kwa Ufafanuzi wako hata mimi nilikuwa sijui sasa nimeshapata ufahamu.
 
Hao wote wanaku changanya
wengine watakwambia house
wengine mji
wengine bandari...

ili mradi watu kila mtu anakuja na tafsiri yake

Sasa ngoja nikujibu mimi ninavyo eleewa

Kwanza elewa kiarabu cha sasa kinachotumika na waarabu
na Quran ni tofauti......

Ndo maana kuna watu wanatafsiri kwa lugha ya Sasa ya Kiarabu
wanazidi kuchanganya watu

Kwa imani ya dini ya kiislam kuna pepo saba...ambazo watu wema wakifa watakwenda huko
moja ya juu sana inaitwa 'firdaous'...

Inayo fuata ni 'Dar as salaam'
so Dar as Salaam ni jina la pepo....maana ikiwa 'heaven of peace' na sio 'haven'

kumbuka jina limetoka kwenye masuala ya imani...tungeweza pia kuita 'paradise of peace'

Sasa mix up ya tafsiri inajitokeza kwa wale ambao wanatafsiri kwa lugha ya kiarabu kinacho tumika sasa
kumbuka wakati wa Mtume(S A W)...lugha iliyo kuwa inatumika ni kikuraishi...na sio arabic hii ya sasa...

Ndo maana hata mwarabu wa sasa inabidi ajifunze dini ya kiislam...haelewi moja kwa moja..

Sasa kutoka Dar as Salaam iliyokuwa ina maanishwa 'heaven of peace'
katika kuelewa na ku translate kumekuja hizi mix up
wengine wakiita 'haven of peace'
wengine ndo hiyo house of peace...

Bandari kiarabu ni bandari
na upo mji katika nchi ya Brunei unaitwa 'Bandar Salaam'

ajabu pia huko Brunei kuna jimbo linaitwa Dar us salaam...

kwa hiyo kwa ufasaha ilipaswa kuandikwa 'Dar as Salaam'

waraabu hata Jerusalem wanaandika 'Jer us salaam '
Bethlehem...'Beit u leheem'

Ngoja wajuzi zaidi watujuze
cc FaizaFoxy Mrskharusy cc Angel Nylon
 
Last edited by a moderator:
Hao wote wanaku changanya
wengine watakwambia house
wengine mji
wengine bandari...

ili mradi watu kila mtu anakuja na tafsiri yake

Sasa ngoja nikujibu mimi ninavyo eleewa

Kwanza elewa kiarabu cha sasa kinachotumika na waarabu
na Quran ni tofauti......

Ndo maana kuna watu wanatafsiri kwa lugha ya Sasa ya Kiarabu
wanazidi kuchanganya watu

Kwa imani ya dini ya kiislam kuna pepo saba...ambazo watu wema wakifa watakwenda huko
moja ya juu sana inaitwa 'firdaous'...

Inayo fuata ni 'Dar as salaam'
so Dar as Salaam ni jina la pepo....maana ikiwa 'heaven of peace' na sio 'haven'

kumbuka jina limetoka kwenye masuala ya imani...tungeweza pia kuita 'paradise of peace'

Sasa mix up ya tafsiri inajitokeza kwa wale ambao wanatafsiri kwa lugha ya kiarabu kinacho tumika sasa
kumbuka wakati wa Mtume(S A W)...lugha iliyo kuwa inatumika ni kikuraishi...na sio arabic hii ya sasa...

Ndo maana hata mwarabu wa sasa inabidi ajifunze dini ya kiislam...haelewi moja kwa moja..

Sasa kutoka Dar as Salaam iliyokuwa ina maanishwa 'heaven of peace'
katika kuelewa na ku translate kumekuja hizi mix up
wengine wakiita 'haven of peace'
wengine ndo hiyo house of peace...

Bandari kiarabu ni bandari
na upo mji katika nchi ya Brunei unaitwa 'Bandar Salaam'

ajabu pia huko Brunei kuna jimbo linaitwa Dar us salaam...

kwa hiyo kwa ufasaha ilipaswa kuandikwa 'Dar as Salaam'

waraabu hata Jerusalem wanaandika 'Jer us salaam '
Bethlehem...'Beit u leheem'

Ngoja wajuzi zaidi watujuze
cc FaizaFoxy Mrskharusy cc Angel Nylon

Ahsante sana
 
Last edited by a moderator:
The Boss,kwanza kabisa ni kweli kwamba,kiarabu cha sasa ni tofauti na cha qurani.Lakini si kiarabu cha sasa tu bali hata kiarabu cha mwanzo ni tofautini na cha quran kwani quran kwa wakati wote,tangia inashushwa mpaka sasa inatumia kiarabu bulbul. pili,neno dares salaam si pepo bali ni nyumba ama mji wa amani,darul=mji na salaam=amani.Pepo kwa kiarabu ni jannah na ina madaraja yake ikiwamo darja ya juu kabsa inayoitwa firdaus. Tatu,qurani haikuandikwa kwa kikuraishi bali kwa kiarabu bulbul(sanifu) ushaidi kasome (16:103 qurani) na kuraishi ni kabila miongoni mwa makabila yaliyo patikana makka na haikuwahi kuwa lugha useme imetumika kuandika qurani.
 
Niliwahi kuandika mada zamani kuhusu hili. Ngoja niitafute.

Kwa kifupi jina hilo linatoka kwenye Qur'an.
 
Dar es Salaam mji wa mapepo, majini na mashetani ya kiarabu ndio maana vitendo Vya ushoga na ulawiti vimeshamiri
 
Dar es Salaam mji wa mapepo, majini na mashetani ya kiarabu ndio maana vitendo Vya ushoga na ulawiti vimeshamiri

We lzm utakuwa Shoga tu manake kila mara lzm uuongelee.
Kinyesi wahed.
Ulipokamatwa ukafungwa ulitegemea huko Jela wakuimbie Taarabu?
Mtoto sio rizk wewe!
 
Dar es Salaam mji wa mapepo, majini na mashetani ya kiarabu ndio maana vitendo Vya ushoga na ulawiti vimeshamiri

Kwani hapo Dar walishakulawiti Mara ngapi mpk uwakasirikie wabongo kiasi hiki?
Kupenda vya bure ulitegemea mabasha Wakuache tu eti eee!
 
Dar es Salaam mji wa mapepo, majini na mashetani ya kiarabu ndio maana vitendo Vya ushoga na ulawiti vimeshamiri

Bujibuji hujajibu swali na ulichojibu si ambacho mtoa mada amekiuliza,mtoa mada ameuliza maana na asili ya Dares salaam na kwanini inaitwa Dares salaam na si bandari salama,wewe umekuja na sifa za Dares salaam kwamba kuna ushoga mapepo ya kiarabu na ulawiti vitu ambavyo hata kama ni kweli mtoa mada hakuvitaka aambiwe.jifunze ustaarabu na acha chuki za aina yoyote kumbuka maisha ni zaidi ya chuki.
 
Back
Top Bottom