Hao wote wanaku changanya
wengine watakwambia house
wengine mji
wengine bandari...
ili mradi watu kila mtu anakuja na tafsiri yake
Sasa ngoja nikujibu mimi ninavyo eleewa
Kwanza elewa kiarabu cha sasa kinachotumika na waarabu
na Quran ni tofauti......
Ndo maana kuna watu wanatafsiri kwa lugha ya Sasa ya Kiarabu
wanazidi kuchanganya watu
Kwa imani ya dini ya kiislam kuna pepo saba...ambazo watu wema wakifa watakwenda huko
moja ya juu sana inaitwa 'firdaous'...
Inayo fuata ni 'Dar as salaam'
so Dar as Salaam ni jina la pepo....maana ikiwa 'heaven of peace' na sio 'haven'
kumbuka jina limetoka kwenye masuala ya imani...tungeweza pia kuita 'paradise of peace'
Sasa mix up ya tafsiri inajitokeza kwa wale ambao wanatafsiri kwa lugha ya kiarabu kinacho tumika sasa
kumbuka wakati wa Mtume(S A W)...lugha iliyo kuwa inatumika ni kikuraishi...na sio arabic hii ya sasa...
Ndo maana hata mwarabu wa sasa inabidi ajifunze dini ya kiislam...haelewi moja kwa moja..
Sasa kutoka Dar as Salaam iliyokuwa ina maanishwa 'heaven of peace'
katika kuelewa na ku translate kumekuja hizi mix up
wengine wakiita 'haven of peace'
wengine ndo hiyo house of peace...
Bandari kiarabu ni bandari
na upo mji katika nchi ya Brunei unaitwa 'Bandar Salaam'
ajabu pia huko Brunei kuna jimbo linaitwa Dar us salaam...
kwa hiyo kwa ufasaha ilipaswa kuandikwa 'Dar as Salaam'
waraabu hata Jerusalem wanaandika 'Jer us salaam '
Bethlehem...'Beit u leheem'
Ngoja wajuzi zaidi watujuze
cc
FaizaFoxy Mrskharusy cc
Angel Nylon