Asili ya hiki chakula ni ya kabila gani?

Asili ya hiki chakula ni ya kabila gani?

Soma uzi wako vizuri unionyeshe mahali umesema ni chakula gani see umeuliza hiki chakul kinapatikana mkoa gami ila hujasema ni chakula gani
Baada ya kuuliza kuna sehem nikatoa ufafanuzi baada ya kuambiwa hicho ni chakula gani.
 
Chakula hiki kinaitwa bokoboko,ni mchanganyiko wa mchele na nyama ya mbuzi
Na mchuzi wake unaitwa Taarshi,ni mchanganyiko wa Jam na Samli
Na ni chakula kinachopendwa na Waarabu...
Ahsante mamuuh kwa ufafanuzi wako.
 
Cha wa hindi hiki maana ndo
Huwa naona wanakulaga
Na wa Ethiopia
 
Hilo wala sio Boko boko labda ni Bunju bunju au kidogo Ununio [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hilo wala sio Boko boko labda ni Bunju bunju au kidogo Ununio [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hilo ni bokoboko, ngano iliyokobolewa huchanganywa na Kuku, inapikwa pamoja hadi kuwa kama ugali, na hio ya juu ni utamu uliokolea.
 
huo ni mseto ni chakula cha kigunya hupatikana magunyani popote walipo iwe tanga mombasa au popote walipo wagunya au ma baajun
 
huo ni mseto ni chakula cha kigunya hupatikana magunyani popote walipo iwe tanga mombasa au popote walipo wagunya au ma baajun
Mseto huchangwanywa mchele na choroko sasa huu ni mchele na nyama mkuu
 
Mseto huchangwanywa mchele na choroko sasa huu ni mchele na nyama mkuu
mkuu si lazima iwe choroko na mchele hata ikiwa burga na nyama au mtama na nyama au chiroko na ngano changa ai ngano changa na nyama ya ngombe,mbuzi,kuku yote ni MCHANYATO AU MSETO
 
Back
Top Bottom