Ashukuriwe Mungu kwa amani ya nchi yetu nzuri Tanzania

Aman Ng'oma

JF-Expert Member
Nov 8, 2011
954
510
Kwa hakika tumepita kwenye misukosuko mingi,kuanzia kutekwa kwa ulimboka,mauaji padre mushi,kumwagiwa tindikali sheikh Soroga kuuawa kwa mwandishi mwangosi Iringa,tukio la bomu arusha,nk.Sasa hivi amani imetawala na victor ameonekana ndiye mhusika mkuu anayepaswa kulisaidia jeshi la polisi kwa tukio la arusha.Tunataka nawengine waliohusika kwenye matukio mengine nao wakamatwe

Imekuwa kawaida kila tukio linapotokea polisi haileti majibu fasaha ya watu waliohusika na hayo matukio na hivyo kuruhusu akili za binadamu kuanza kutuhumiana na kujenga chuki.Tunaomba polisi ifanye kazi yake ipasavyo ili tuwajue wahusika wakuu wa matukio yote yaliyotokea.

Tunahitaji amani yetu iendelee kutamalaki.Watanzania tupaswa kumshukuru mungu kwa Tunu ya amani,polisi na vyombo vya usalama wafanye kazi yao barabara ili wachawi wanaotaka kuivuruga amani ya hii nchi wajulikane.

Mambo yanayotokea nchini kwetu,tunapaswa kuyatafakari kwa umakini,vinginevyo tutawahukumu watu kwa makosa wasiyofanya mwisho wa siku laana itaturudia wenyewe.Binaadamu wanaakili sana,ni waledi wa kutengeneza visa kwa ajili ya kufanikisha malengo waliyopanga.Mwenyezi mungu wahukumu wote wenye michezo michafu na kuhatarisha amani ya nchi yetu.
 
Kwa hakika tumepita kwenye misukosuko mingi,kuanzia kutekwa kwa ulimboka,mauaji padre mushi,kumwagiwa tindikali sheikh Soroga kuuawa kwa mwandishi mwangosi Iringa,tukio la bomu arusha,nk.Sasa hivi amani imetawala na victor ameonekana ndiye mhusika mkuu anayepaswa kulisaidia jeshi la polisi kwa tukio la arusha.Tunataka nawengine waliohusika kwenye matukio mengine nao wakamatwe

Imekuwa kawaida kila tukio linapotokea polisi haileti majibu fasaha ya watu waliohusika na hayo matukio na hivyo kuruhusu akili za binadamu kuanza kutuhumiana na kujenga chuki.Tunaomba polisi ifanye kazi yake ipasavyo ili tuwajue wahusika wakuu wa matukio yote yaliyotokea.

Tunahitaji amani yetu iendelee kutamalaki.Watanzania tupaswa kumshukuru mungu kwa Tunu ya amani,polisi na vyombo vya usalama wafanye kazi yao barabara ili wachawi wanaotaka kuivuruga amani ya hii nchi wajulikane.

Mambo yanayotokea nchini kwetu,tunapaswa kuyatafakari kwa umakini,vinginevyo tutawahukumu watu kwa makosa wasiyofanya mwisho wa siku laana itaturudia wenyewe.Binaadamu wanaakili sana,ni waledi wa kutengeneza visa kwa ajili ya kufanikisha malengo waliyopanga.Mwenyezi mungu wahukumu wote wenye michezo michafu na kuhatarisha amani ya nchi yetu.

Na mimi nasema! Ameen.

Ahsante kwa ujumbe swaafi kabisa!
 
Kwa hakika tumepita kwenye misukosuko mingi,kuanzia kutekwa kwa ulimboka,mauaji padre mushi,kumwagiwa tindikali sheikh Soroga kuuawa kwa mwandishi mwangosi Iringa,tukio la bomu arusha,nk.Sasa hivi amani imetawala na victor ameonekana ndiye mhusika mkuu anayepaswa kulisaidia jeshi la polisi kwa tukio la arusha.Tunataka nawengine waliohusika kwenye matukio mengine nao wakamatwe

Imekuwa kawaida kila tukio linapotokea polisi haileti majibu fasaha ya watu waliohusika na hayo matukio na hivyo kuruhusu akili za binadamu kuanza kutuhumiana na kujenga chuki.Tunaomba polisi ifanye kazi yake ipasavyo ili tuwajue wahusika wakuu wa matukio yote yaliyotokea.

Tunahitaji amani yetu iendelee kutamalaki.Watanzania tupaswa kumshukuru mungu kwa Tunu ya amani,polisi na vyombo vya usalama wafanye kazi yao barabara ili wachawi wanaotaka kuivuruga amani ya hii nchi wajulikane.

Mambo yanayotokea nchini kwetu,tunapaswa kuyatafakari kwa umakini,vinginevyo tutawahukumu watu kwa makosa wasiyofanya mwisho wa siku laana itaturudia wenyewe.Binaadamu wanaakili sana,ni waledi wa kutengeneza visa kwa ajili ya kufanikisha malengo waliyopanga.Mwenyezi mungu wahukumu wote wenye michezo michafu na kuhatarisha amani ya nchi yetu.
Nimeipenda sana aya ya mwisho ya ujumbe wako kichwa mbovu ila ujue kwamba nyati aliyezingirwa na wawindaji mahiri atatafuta namna yoyote ya kujipenyeza atoke. Kwa bahati mbata/nzuri, hapa nchini kuna mzingiro mkali umetokea na anayezingirwa anatafuta njia yoyote iwayo atoke na katika kutoka hana muda wa kufikiria atatimua vumbi kiasi gani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom