Ashukuriwe hata kwa hiki kidogo

Ashukuriwe hata kwa hiki kidogo

Ila kitanda kisiwe mbao za mpodo ziwe za mninga🤣 halafu chumba kiwe sound proof
😅😅 mechi zingine zinapelekea viwanja vya ugenini ili kutelekeza jihad.. kuna chimbo hapo laitwa bluebird lina milango miwili miwili hakuna kelele inayotoka nje
 
1774685186544.jpg
 
DIWANI AFARIKI DUNIA.

Diwani wa Viti Maalum wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Semeni Musa Mtoka, alimefariki dunia leo Machi 31, 2026.

Marehemu Mtoka amefariki Dunua wakati alipokuwa akipatiwa matibabu katika Cardinal Rugambwa Hospital.
1774971936005.jpg
 
Diwani mwingine wa CCM afariki Dunia. RIP diwani
1775019411819.jpg

Off target bado zinaendelea
 
Back
Top Bottom