Kwanza kawanyima penalt kagera na kutoka wrong kadi
Refa ameshindwa kumudu pressure ya mchezo....
Refa ameshindwa kumudu pressure ya mchezo....
mbwa huyu kaharibu radhaa ya mpiraRefa anafanya mambo ya kifala fala tu
Anakalia nini tena 😳Anakalia huyo 😟
MsumariAnakalia nini tena í ½í¸³
Mikia kwa maneno!!yaani mara hii tu umesahau jinsi tff walivyowahonga ubingwa?ningekuwa na uwezo Simba yangu ningeiamishia ligi za Congo,huu ni upuuzi
Kafanya kosa gani?Huyu refa kamati imuangalie
Kwa hiyo unasemaje Ndugu yangu?? Wewe ulitaka nani abebwe live?Utopolo leo anabebwa live
Angekua boko ndio kaangushwa pale ungeleta porojo zako hapa?Kwa hiyo kulikuwa na haja gani ya hii match kuchezwa?
Angekua boko ndio kaangushwa pale ungeleta porojo zako hapa?