Ila bwashee nipe kitengo mkuu!Bwashee uliza swali jingine🤗
Mkuu I just want to collect like 20m this year kuna vitu vikubwa nataka kutimiza.. Naomba kitengo bwashee, kama ni kulewa tu niko tayari kwa hiloHahaha ,kitengo kipi ?bwashee
Piga mwanetu.Juzi kati , nipo zangu bar natia gambe , huku nikicheki game ya Manchester United, kupiga jicho nakutana na jicho la mtoto mkali kinouma.
Halafu kwa makusudi kabisa akasimama akatoka kwenda maliwato , huku akinikata jicho nakutingisha makalio yake mazuri na malaini mno.
Mwamba nikajikaza , mtoto kurudi akakaa , huku akiendelea kuniangalia jicho la uchokozi😋
Mzee wa kujilamba 🍺 kama kawaida yangu , nikamkonyeza ikaja tu automatically 🤗
Kacheka , ana vijishimo kwenye shavu , nikampa ishara ya kutoka nnje na yeye akatoka nikachukua namba , kwa sababu alikuja na mwamba , kimazingira ilikua ngumu😅
Kuwasialiana nae , kumbe ni mnsanzi wa kabila la khosa 🤗
Ndio najitafakari hapa nipige au niache🤣🤣 nikiwa najilamba kama kawaida yangu😋🍺, na kibubu kimejaa😅
Mimi sio mywaji ndo maana nikasema kama ni kunywa pombe tu for the sake wewe unipe kitengo niko radhiSure mil 20 kwa mwaka ,ujitenge na pombe na anasa mno
Tangia nimfukue kwa Kumbikiri Choo cha Uani Mama yako Mzazi umekuwa na Hasira sana nami. Naona umenizoea vibaya sasa ngoja nikunyooshe.
Shosti umepotelea wapi siku hizi , umepata buzi/danga lipi limekufungia ndani hauonekanTangia nimfukue kwa Kumbikiri Choo cha Uani Mama yako Mzazi umekuwa na Hasira sana nami. Naona umenizoea vibaya sasa ngoja nikunyooshe.
🤣🤣Bwashee kunywa pombe ,halafu punguza umbea😅
Naona baada ya kukupa Dozi kwa ID yako ya mwanzo umeamua kuja na hii ID yako nyingine ukidhani Mimi ni Mpumbavu kama Wewe na Waliokuzaa hivyo sitokujua.Shosti umepotelea wapi siku hizi , umepata buzi/danga lipi limekufungia ndani hauonekan