Asee bar kuna pisi kali mno

Asee bar kuna pisi kali mno

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
58,242
Reaction score
167,368
Juzi kati , nipo zangu bar natia gambe , huku nikicheki game ya Manchester United, kupiga jicho nakutana na jicho la mtoto mkali kinouma.


Halafu kwa makusudi kabisa akasimama akatoka kwenda maliwato , huku akinikata jicho nakutingisha makalio yake mazuri na malaini mno.

Mwamba nikajikaza , mtoto kurudi akakaa , huku akiendelea kuniangalia jicho la uchokozi😋

Mzee wa kujilamba 🍺 kama kawaida yangu , nikamkonyeza ikaja tu automatically 🤗

Kacheka , ana vijishimo kwenye shavu , nikampa ishara ya kutoka nnje na yeye akatoka nikachukua namba , kwa sababu alikuja na mwamba , kimazingira ilikua ngumu😅

Kuwasialiana nae , kumbe ni mnsanzi wa kabila la khosa 🤗


Ndio najitafakari hapa nipige au niache🤣🤣 nikiwa najilamba kama kawaida yangu😋🍺, na kibubu kimejaa😅
 
Juzi kati , nipo zangu bar natia gambe , huku nikicheki game ya Manchester United, kupiga jicho nakutana na jicho la mtoto mkali kinouma.


Halafu kwa makusudi kabisa akasimama akatoka kwenda maliwato , huku akinikata jicho nakutingisha makalio yake mazuri na malaini mno.

Mwamba nikajikaza , mtoto kurudi akakaa , huku akiendelea kuniangalia jicho la uchokozi😋

Mzee wa kujilamba 🍺 kama kawaida yangu , nikamkonyeza ikaja tu automatically 🤗

Kacheka , ana vijishimo kwenye shavu , nikampa ishara ya kutoka nnje na yeye akatoka nikachukua namba , kwa sababu alikuja na mwamba , kimazingira ilikua ngumu😅

Kuwasialiana nae , kumbe ni mnsanzi wa kabila la khosa 🤗


Ndio najitafakari hapa nipige au niache🤣🤣 nikiwa najilamba kama kawaida yangu😋🍺, na kibubu kimejaa😅
Bwasheee Leo ume lewa mapema mno.
 
Nenda Arusha utapagawa kule kuna watoto wakali sana , ukitaka ufanye utalii wa pisi zama Arusha . Wanaoishi Arusha wanafaidi sana.

Kuhusu huyo kama malengo yako ni kuchapa tu fresh ila usijichanganye ukaingia kwenye mahusiano serious maana ukiona umempora demu kwa mtu akaja kwako ujue na yeye atatoka kwako kwa style hiyo hiyo
 
Nenda Arusha utapagawa kule kuna watoto wakali sana , ukitaka ufanye utalii wa pisi zama Arusha . Wanaoishi Arusha wanafaidi sana.

Kuhusu huyo kama malengo yako ni kuchapa tu fresh ila usijichanganye ukaingia kwenye mahusiano serious maana ukiona umempora demu kwa mtu akaja kwako ujue na yeye atatoka kwako kwa style hiyo hiyo
Bwashee ushawahi kutana na pisi za South Africa?
 
Juzi kati , nipo zangu bar natia gambe , huku nikicheki game ya Manchester United, kupiga jicho nakutana na jicho la mtoto mkali kinouma.


Halafu kwa makusudi kabisa akasimama akatoka kwenda maliwato , huku akinikata jicho nakutingisha makalio yake mazuri na malaini mno.

Mwamba nikajikaza , mtoto kurudi akakaa , huku akiendelea kuniangalia jicho la uchokozi😋

Mzee wa kujilamba 🍺 kama kawaida yangu , nikamkonyeza ikaja tu automatically 🤗

Kacheka , ana vijishimo kwenye shavu , nikampa ishara ya kutoka nnje na yeye akatoka nikachukua namba , kwa sababu alikuja na mwamba , kimazingira ilikua ngumu😅

Kuwasialiana nae , kumbe ni mnsanzi wa kabila la khosa 🤗


Ndio najitafakari hapa nipige au niache🤣🤣 nikiwa najilamba kama kawaida yangu😋🍺, na kibubu kimejaa😅
Kuna zile za kutoka Babati pisi kali Nyeupe zipo Bar Moja kule Babati...Kuna hiyo Moja inaitwa Marian na Kuna nyingine inaitwa Marian.

Hatarious
 
Back
Top Bottom