Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,749
- 69,949
Yaani hapo kuukwaa ni fastaangoma nje nje, unless uwe na mpango wa kuanzisha bendi...
Yaani hapo kuukwaa ni fastaangoma nje nje, unless uwe na mpango wa kuanzisha bendi...
Huoni kama unazifukuza pisi za humu zisikupe utelezi? Wanatunza risit zako tuBwashee kaja na mwamba , nilivyoona chuma imenielewa , nikanyanyuka kucheza na pisi nyingine, kuvunga, aaaaah mimi mwenyewe mhuni tu bwashee
Au achanganya asali, limau, na kitunguu saumu, kabla ya kuanza kungonoka naye basi atie mchanganyo huo kunako mbunye, hapo natumai kwa 100% bacteria waliomo mbunyeni watakufa kibudu.Kama alikuja na mwamba maana yake utakula makombo. Vumilia aisafishe kama week hivi ndio uteleze
Ni wivu wa kukuhurumia huwa mnakuwa wapole sana mkibananishwa.😆Bwashee acha wivu🤣
Bwashee naichapa na nainyonya nitasafisha na pombe kali😅Au achanganya asali, limau, na kitunguu saumu, kabla ya kuanza kungonoka naye basi atie mchanganyo huo kunako mbunye, hapo natumai kwa 100% bacteria waliomo mbunyeni watakufa kibudu.
Elim Dunia 😎
Zangu ninazo na natamba nazo sijui zako hapo😆😆Bwashee acha zako
Ungekuwa kule ukanda wa kaskazini ungenunua tu gongo (piwa) kisha unamwagia, bacteria wote chali.Bwashee naichapa na nainyonya nitasafisha na pombe kali😅
akina GENTAMYCINE wengi sana sikuhizi.Juzi kati , nipo zangu bar natia gambe , huku nikicheki game ya Manchester United, kupiga jicho nakutana na jicho la mtoto mkali kinouma.
Halafu kwa makusudi kabisa akasimama akatoka kwenda maliwato , huku akinikata jicho nakutingisha makalio yake mazuri na malaini mno.
Mwamba nikajikaza , mtoto kurudi akakaa , huku akiendelea kuniangalia jicho la uchokozi😋
Mzee wa kujilamba 🍺 kama kawaida yangu , nikamkonyeza ikaja tu automatically 🤗
Kacheka , ana vijishimo kwenye shavu , nikampa ishara ya kutoka nnje na yeye akatoka nikachukua namba , kwa sababu alikuja na mwamba , kimazingira ilikua ngumu😅
Kuwasialiana nae , kumbe ni mnsanzi wa kabila la khosa 🤗
Ndio najitafakari hapa nipige au niache🤣🤣 nikiwa najilamba kama kawaida yangu😋🍺, na kibubu kimejaa😅
Kama unaweza vuka barabara ukiwa tilatila sembuse kuwa online JfKivipi?
Hahha naona unampa za uso mr min me 😅Kama unaweza vuka barabara ukiwa tilatila sembuse kuwa online Jf