Asasi ya ECLAT Foundation na jitihada za kuwasaidia wananchi

JAMHURI

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
449
60
Hakika nimefuatilia Asasi ya ECLAT Foundation, yenye makao yake makuu Kijiji cha Emboreti nimebaini mambo kadhaa na ina msaada kwa wananchi

Kwa sekta ya elimu, nimeshughudia ukarabati na kujenga miundombinu ya elimu maeneo tofauti nchini ambapo zimekaribia kufikia shule 20 zinakabidhiwa Serikalini baada ya kukamilishwa na Asasi hiyo kwa kushirikiana na wadao na wananchi

Maji nimeona mradi mkubwa wa kusafisha maji ya bwawa Kijiji cha Sukuro ambap umegharimu zaidi ya mil 200

Kuna vikundi vya ujasiria mali zaidi ya hamsini ambavyo viko katika hatua ya kunufaika na Asasi jambo ambalo ni zuri kabisa

Kama wananchi watatumia fursa hii vyema watanufaika na Asasi hii ambayo inasimamiwa na mtanzania mzalendo
 
naanza kuona Sky Eclat atakavyoi cost hii taasisis ya Eclat

Wenye taasisi wajiandae kudukuliwa
 
Hakika nimefuatilia Asasi ya ECLAT Foundation, yenye makao yake makuu Kijiji cha Emboreti nimebaini mambo kadhaa na ina msaada kwa wananchi

Kwa sekta ya elimu, nimeshughudia ukarabati na kujenga miundombinu ya elimu maeneo tofauti nchini ambapo zimekaribia kufikia shule 20 zinakabidhiwa Serikalini baada ya kukamilishwa na Asasi hiyo kwa kushirikiana na wadao na wananchi

Maji nimeona mradi mkubwa wa kusafisha maji ya bwawa Kijiji cha Sukuro ambap umegharimu zaidi ya mil 200

Kuna vikundi vya ujasiria mali zaidi ya hamsini ambavyo viko katika hatua ya kunufaika na Asasi jambo ambalo ni zuri kabisa

Kama wananchi watatumia fursa hii vyema watanufaika na Asasi hii ambayo inasimamiwa na mtanzania mzalendo
Sidai kabisa?
Hii taasisi ni ya Mtanzania mmoja anaitwa Toima aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya kugona awamu ya nne ya JK.

Kiukweli jamaa ykiachilia mbali chuki za kisiasa Toima amesaidia sn jamii ya kimasai jimbo la Simanjiro japo kuna vita ya kisiasa ya chinichini kutoka kwa watu wanaowania ubunge kwa nia kunufaisha matumbo yao.

Back to days ex PM wa Simanjiro ambaye ss ni RC nyanda za juu kusini amekuwa akionesha chuki ya wazi kbs kwa Bwn Toima kwa kudhani jambo analofanya Toima ni kujiimarisha kisiasa ili 2020 aonekane na awe miongoni mwa watakao pepeusha bendera kuwania ubunge jimboni hapo.

Hv krbn mbungw huyo wa zamani kwa kuwa amejua hatakuja kupata tena ubunge jimbo hilo ameinekana kutaka kumpa support mbunge wa sasa wa Simanjiro Mh. Ole Millya ktk awamu ijayo lkn lengo kubwa isije ikatokea Toima akachukua kiti cha Ubunge.

Lkn muungano wa Sendeka na Millya sijui utakuwa na mpya gani maana ukuaji hasi (-) wa Wilaya ya Simanjiro ulichangiwa na Sendeka katika kipindi chake.

Ikumbukwe yy ndiye akiyeingiza mambo ya siasa kwenye kiwanda kikubwa cha nyama na maziwa vya Lotiana hadi kikafa kwa fikra zake hasi(-).

Kwa muktadha huu kama Sendeka anaungana na Millya kutaka kumpinga Toima kupeperusha Bendera ya Ubunge Simanjiro ni dhahiri muungano huo ni kwa nia ya kudhoofisha maendeleo zaidi kwa wana Simanjiro.

Hivi unaachaje kumchagua mtu anefight kutafuta wafadhili lukuki kuleta miradi ya mamilioni Jimboni ukaenda kumchagua mtu wa mtu aliyekaa kwenye ubunge mika zaidi ya 20 akashindwa kupata wafadhili hata wa kujenga choo kwao Losokonoi? My Fellow maasai lets wake up Timu Sendema yeyote hatatufaa..tuamke!!

Niwashauri wana CCM msimwangushe Mh. Rais mkampendekeza yeyote kwenye kambi ya Sendeka Simanjiro ya sasa itarudi kule awali kwa Sendeka kwa kuzuia maendeleo kisa maeneo yetu yataingiliwa na waswahili, wazo muflisi na lililokosa tunu ya Umoja baina ya watanzania.

Ashee!!
 
Sidai kabisa?
Hii taasisi ni ya Mtanzania mmoja anaitwa Toima aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya kugona awamu ya nne ya JK.

Kiukweli jamaa ykiachilia mbali chuki za kisiasa Toima amesaidia sn jamii ya kimasai jimbo la Simanjiro japo kuna vita ya kisiasa ya chinichini kutoka kwa watu wanaowania ubunge kwa nia kunufaisha matumbo yao.

Back to days ex PM wa Simanjiro ambaye ss ni RC nyanda za juu kusini amekuwa akionesha chuki ya wazi kbs kwa Bwn Toima kwa kudhani jambo analofanya Toima ni kujiimarisha kisiasa ili 2020 aonekane na awe miongoni mwa watakao pepeusha bendera kuwania ubunge jimboni hapo.

Hv krbn mbungw huyo wa zamani kwa kuwa amejua hatakuja kupata tena ubunge jimbo hilo ameinekana kutaka kumpa support mbunge wa sasa wa Simanjiro Mh. Ole Millya ktk awamu ijayo lkn lengo kubwa isije ikatokea Toima akachukua kiti cha Ubunge.

Lkn muungano wa Sendeka na Millya sijui utakuwa na mpya gani maana ukuaji hasi (-) wa Wilaya ya Simanjiro ulichangiwa na Sendeka katika kipindi chake.

Ikumbukwe yy ndiye akiyeingiza mambo ya siasa kwenye kiwanda kikubwa cha nyama na maziwa vya Lotiana hadi kikafa kwa fikra zake hasi(-).

Kwa muktadha huu kama Sendeka anaungana na Millya kutaka kumpinga Toima kupeperusha Bendera ya Ubunge Simanjiro ni dhahiri muungano huo ni kwa nia ya kudhoofisha maendeleo zaidi kwa wana Simanjiro.

Hivi unaachaje kumchagua mtu anefight kutafuta wafadhili lukuki kuleta miradi ya mamilioni Jimboni ukaenda kumchagua mtu wa mtu aliyekaa kwenye ubunge mika zaidi ya 20 akashindwa kupata wafadhili hata wa kujenga choo kwao Losokonoi? My Fellow maasai lets wake up Timu Sendema yeyote hatatufaa..tuamke!!

Niwashauri wana CCM msimwangushe Mh. Rais mkampendekeza yeyote kwenye kambi ya Sendeka Simanjiro ya sasa itarudi kule awali kwa Sendeka kwa kuzuia maendeleo kisa maeneo yetu yataingiliwa na waswahili, wazo muflisi na lililokosa tunu ya Umoja baina ya watanzania.

Ashee!!
Ex PM wa Simanjiro au ex MP wa Simanjiro??? Ebintu byaguma
 
Back
Top Bottom