Asanteni wadau,nimeghairi

Asanteni wadau,nimeghairi

ungempata subiani..hata mrejesho usingeleta...
 
ungempata subiani..hata mrejesho usingeleta...

huo ni mtazamo wako hunijui sikujui usiusemee moyo wangu,nilitegemea mrejesho chanya so tofaut ya nilichotegemea ndio maana nikassema niliosema
 
Ni utaahira tu utaisha. Hapa ni sawa na pahala pengine popote. Watu wanauza na kununua magari humu itakuwa kumpata rafiki au mwenza? Watu wanapata sponsors humu itakuwa rafiki au mwenza? Watu wanapata guarantors humu itakuwa mke?....n.k.
Watazoea tu. Miaka ya nyuma kwa ushamba wetu tuliamini kumuoa/ kuolewa na mtu ni mpaka ukoo wako uufahamu ukoo wa mtarajiwa. Imeenda hivyo kwa miaka sasa si takwa/sharti muhimu tena. Unakutana na mwenza kijiweni/sokoni/daladala/msibani/harusini/kisimani huku hamjuani kabisa mnakubaliana mnaanza kuishi na mwishowe wazaz watataarifiwa. Jamii imezoea na ndivyo hivyo ilivyo sasa.
Kwahiyo ni imani yangu kuwa hata humu ni ushamba na uhafidhina vinasumbua watu ndo maana wanaona kama hili si jukwaa sahihi. Big up kwa waleta uzi woote ktk jukwa hili.
Siyo kila mtu anaenda kijiweji ama anazurura mitaani ama anashobokea harusi kama wewe. Si kila mtu anafanya mambo yasiyoendana na mila na desturi misibani. Eti wenzio wanalia wewe unatongoza. Watu wako bize kinyama, wanyama nyie. Hapa ni saw a na pahala pengine popote.
. Nawasilisha
 
huo ni mtazamo wako hunijui sikujui usiusemee moyo wangu,nilitegemea mrejesho chanya so tofaut ya nilichotegemea ndio maana nikassema niliosema

ulipoweka hili jamvini hukutegemea mitazamo tofauti toka kwa watu tofauti..???acha udikteta wa kishamba..eti usiusemee moyo..nia ya kuliweka hadharani nikujue nisikujue huwezi kunikataza kutoa mtazamo wangu..nina mashaka hata kama hili jina ''subiani'' umelielewa..usipanic comrade...
 
ulipoweka hili jamvini hukutegemea mitazamo tofauti toka kwa watu tofauti..???acha udikteta wa kishamba..eti usiusemee moyo..nia ya kuliweka hadharani nikujue nisikujue huwezi kunikataza kutoa mtazamo wangu..nina mashaka hata kama hili jina ''subiani'' umelielewa..usipanic comrade...

Its alright Tyta lamalu is still learning
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom