mnyakwetu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 309
- 96
Kuna thread iliwahi kuwekwa hapa namna ya kujua kama mpenzi wako anakucheat.
Nilifuatilia namna ilivyochangiwa na watu wengi walitoa michango yao kwa namna wanavyofahamu, uamuzi niliochukua ni kufanyia kazi yale niliyoyapata coz na mimi nilikuwa mmojawapo wa wanaohisi kama wanadanganywa katika mapenzi, nilihisi hivyo baada ya kuona mpenzi wangu amebadilika kwa kila kitu.
Hakuna anachonisikiliza sikupata jibu, kuna siku niliamua kumwita sehemu na kujaribu kumweka sawa y ananifanyia hivyo, hakuna alichojibu zaidi ya kusema atajirekebisha, cha ajabu nikaona kama anazidi sasa, nilichofanya nilimwita tena nikaziomba simu zake zote mbili, hapo ukawa ugomvi mkubwa sana kwann nakagua simu zake.
Nilifanikiwa kunyang'aanya simu moja nikaangalia text, nilichokikuta Mungu anajua nilipomwuliza akadai ni rafiki zake tu wa kawaida, niliingiza namba zangu za simu kwenye simu yake nikajipigia nikaona amenisave jina la kike, utetezi wake haukuniridhisha, niliamua kuvunja simu zote mbili kwa hasira.
Kesho yake asubuhi niliamua kununua simu nikadownload ile kitu mspy, nikampelekea na kumwomba msamaha kwa yaliyotokea nikanyamaza.
Nikaendelea kumchunguza kama kuna mtu ana mahusiano nae, kweli nilianza kuona yale mawasiliano, nikayakusanya kama yalivyo, baada ya siku nne niliamua kumwambia ukweli wote na kumwonesha text zote na simu alizopigiwa, hakuweza kuamini kitendo kile lakini ndo ulikuwa ukweli wenyewe, hakuweza kukataa tena alikiri kuwa ni kweli ana mahusiano na huyo kijana mwingne.
Uamuzi wangu niliochukua nilimwambia sihitaji tena mahusiano kati yangu na yeye, alilia sana na kuomba msamaha lakini kiukweli moyo wangu umeshamtoa kabisa tena simhitaji.
Mpaka hivi sasa anajitahidi kuomba msamaha na kuahidi kwamba hata niumiza tena, lakini hofu yangu naona atarudia tu na sitaki kupata presha tena za namna hii.
Shukrani sana kwa aliyotoa ile thread kweli JF ni kila kitu.
Asanteni
Nilifuatilia namna ilivyochangiwa na watu wengi walitoa michango yao kwa namna wanavyofahamu, uamuzi niliochukua ni kufanyia kazi yale niliyoyapata coz na mimi nilikuwa mmojawapo wa wanaohisi kama wanadanganywa katika mapenzi, nilihisi hivyo baada ya kuona mpenzi wangu amebadilika kwa kila kitu.
Hakuna anachonisikiliza sikupata jibu, kuna siku niliamua kumwita sehemu na kujaribu kumweka sawa y ananifanyia hivyo, hakuna alichojibu zaidi ya kusema atajirekebisha, cha ajabu nikaona kama anazidi sasa, nilichofanya nilimwita tena nikaziomba simu zake zote mbili, hapo ukawa ugomvi mkubwa sana kwann nakagua simu zake.
Nilifanikiwa kunyang'aanya simu moja nikaangalia text, nilichokikuta Mungu anajua nilipomwuliza akadai ni rafiki zake tu wa kawaida, niliingiza namba zangu za simu kwenye simu yake nikajipigia nikaona amenisave jina la kike, utetezi wake haukuniridhisha, niliamua kuvunja simu zote mbili kwa hasira.
Kesho yake asubuhi niliamua kununua simu nikadownload ile kitu mspy, nikampelekea na kumwomba msamaha kwa yaliyotokea nikanyamaza.
Nikaendelea kumchunguza kama kuna mtu ana mahusiano nae, kweli nilianza kuona yale mawasiliano, nikayakusanya kama yalivyo, baada ya siku nne niliamua kumwambia ukweli wote na kumwonesha text zote na simu alizopigiwa, hakuweza kuamini kitendo kile lakini ndo ulikuwa ukweli wenyewe, hakuweza kukataa tena alikiri kuwa ni kweli ana mahusiano na huyo kijana mwingne.
Uamuzi wangu niliochukua nilimwambia sihitaji tena mahusiano kati yangu na yeye, alilia sana na kuomba msamaha lakini kiukweli moyo wangu umeshamtoa kabisa tena simhitaji.
Mpaka hivi sasa anajitahidi kuomba msamaha na kuahidi kwamba hata niumiza tena, lakini hofu yangu naona atarudia tu na sitaki kupata presha tena za namna hii.
Shukrani sana kwa aliyotoa ile thread kweli JF ni kila kitu.
Asanteni