MUKINGA MSANGI
Member
- Apr 20, 2013
- 12
- 1
...Mkuu hapo umenikuna. Na hapo ndipo ninaposhindwa kuielewa dhamira ya akina Dr Kitila kuleta mvurugano katika kipindi sensitive kama hiki. Na kwa kweli ukiangalia uwezo wao kiakili - hili ndilo linalothibitisha kabisa kuwa walitumwa kuiharibu CHADEMA kipindi ambacho CHADEMA haitakuwa na muda wa kutosha kujipanga upya kuikabili CCM miezi michache ijayo. Hawa ndio wanaojidai kuwa ni wasomi, wakati hawana tofauti na dadapoa wanaouza utu wao kwa vipande vya pesa. AIBU!Dr Slaa ni Jasiri na ana uwezo mkubwa sana... Hawa ndiyo aina ya viongozi wanaotakiwa Tanzania hii na tunashukuru hii Ziara imeyafunga midoma Magazeti yanayotumika vibaya kama Mwananchi, Habari Leo Uhuru na RAI.
Big up Dr Slaa Rais Mtarajiwa 2015, tumeshashinda mtego mwingine wa kukukwamisha usigombee tena.
Mimi kama mwanachama halili wa Chadema ninayeifahamu Katiba ya Chadema na ninayeheshi maamuzi ya Viakao halali vya Chama sioni umuhimu wa kubadili Uongozi wa juu wa Chama mpaka 2016 tutakapokuwa na serikali ya Chadema Tanzania.
VIVA CHADEMA VIVA!!!!!!!!!!!!!!!!!
Peoples Power... Hakuna kulala mpaka kielweke, Chadema ni mpango wa Mungu.
kama yule aliyempora mke wa mahimbo huku akijiita padreKama yule aliye haribu ya babu seya kwa kumfunga jela na kumchukua mkewe.
..
....Kamanda Molemo ukimwona Sixgate huko msalimie!!!
MSUKULEMolemo anajitahidi sana kumlisha maneno Dr Slaa. Hakika ziara yake imetonesha majeraha ya wana kigoma kutokana na mipango ovu dhidi ya kijana wao
anaweza kupora wake za watu, kuvunja ndoa za majirani (mf ya mahimbo), kuendesha chama kikoloni na kupika majungu
Simba wa Tanzania Dr.Slaa hongera.
MSUKULE
Mwenzangu ni msukule!
Anawaza kimsukule!
Anaandika ili ale!
Watoto wasipige kelele!
Ma------ni ana chale!
Zilizomgeuza akili!
Anawaza kwa vidole!
Kamanda siwe mpole!
Kuna viwango vya misukule!
Hiki ndio cha kilele!
Shime shime ishimile!
Tuunusuru msukule!
Molemo anajitahidi sana kumlisha maneno Dr Slaa. Hakika ziara yake imetonesha majeraha ya wana kigoma kutokana na mipango ovu dhidi ya kijana wao
gwiji la majungu na kula ruzuku za chama
simba asiyekuwa na madhara hata chembe.
Mmmh! Ukiona babu Slaa, weka mbali wake za watu
gwiji la majungu na kula ruzuku za chama