tzjamani
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 995
- 30
Naomba nitumie jukwaa kuwashukuru watu wa Karatu kwa kutuleta mkombozi. Wanampenda sana walisikitika wakati alipotangazwa kugombea Uraisi. Lakini wakakubali kwa kuwa wanatamani na waTz waonyeshe mafanikio waliyopata ndani ya miaka 10 ya Ubunge. Nimeacha makusudi miaka 5 ya mwanzo kwa sababu ya mizengwe.
Viva karatu na Mungu amewasaidia wamepata kichwa kingiwe kwa ajili ya Ubunge kuppita CHADEMA.eace:
Mungu mbariki Dr Slaa for P and ibariki Tanzania.
Viva karatu na Mungu amewasaidia wamepata kichwa kingiwe kwa ajili ya Ubunge kuppita CHADEMA.eace:
Mungu mbariki Dr Slaa for P and ibariki Tanzania.