miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
utaratibu wa kuweka mwanaume moyoni nilishauacha siku mingi sana.... kwa hiyo jifunze kumweka mwanaume akilini .. acha kuusumbua moyo aisee
kweli kabisaIla nyie wanawake Mungu awasamehe tu ,mna force kupenda pasipokua na upendo
Sio mkwara yaani nitamvuruga mpaka arudi kwa mkewe anachechemea
utaratibu wa kuweka mwanaume moyoni nilishauacha siku mingi sana.... kwa hiyo jifunze kumweka mwanaume akilini .. acha kuusumbua moyo aisee
Wewe pesa tu ndio unaweka moyoni.
Ulielewa vibaya...sio mtu Wa kuenjoy naye...kasome thread vizuri...nilisema nin nifanye weekend
Siku nyingine jifunze kutuweka akilini au mahali pengine popote...
Lakini huko moyoni subiri hadi utapopata mume ndio anayestahili kukaa huko...
Umeelewa??
Eheee... We vp kwani kupanic uko,kumegwa nimegwe mie we upanic uko vepee...relax,ngoma bado ipo hajaondoka nayo wala kuacha nembo yake..
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII
Watuweke sehemu gani sasa
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII
Aiseeeh!
Are you a soldier or trained on physical combat!?
Hahahahahahahahahaha mkuu mbavu zangu tu. Ilaa kikubwa mkiambiwa ukweli mnakimbiaa
Hahahahahahahahaha......mkuu pole sana wenzako tumepona wewe bado upo kwenye maumivu ni kheri kumsaidia ndugu kuliko hao watu aiseeee unaweza kujitia kitanziWhatever happened to you na mimi imenitokea recently nipo Mwanza lakin the lady I cared tooo much kupita kiasi, the lady I have sacrificed mambo mengi kwa ajili yake leo kaniona useless like all I did was nothing. Absolutely nothing.. so haya mambo bhana wakati mwingine nadhani kabla hatuja fall in love ni bora weka wazi kila mtu amueleze mwenzake LIKES na DISLIKES zake....lakin too bad ni kwamba unapo taka kujenga mahusiano mapya ukiwa mkweli kwa mwenzako hasa during first sight HUMPATI
Na wew kwanin umeoa usitulie na papuch ya mkeo...? Yaan kifinyo ndio dawa yenu
Maneno tu hayo kwakweli.Kwa kweli sina mafunzo yoyote ila kumpiga mwanaume naweza sana.