Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

Mapenzi ya siku hizi ni ukichaa mtupu. Yaani unateswa na mtu ambaye hata humjui vizuri. Ndio mana siku hizi mnafanywa kama big G, mnamegwa mnatupwa. Safi kabisa nami nasema mmegwe tu, mana hamna namna.

Hahaaa na kweli wamegwe tu kwani hakuna namna nyingine 😃😃
 
Kwenye hii game ya mapenzi kila mtu anaumizwa kwa wakati wake so bi dAda usijali amka uendelee na maisha
 
Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo..this guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine

Conversations ikawa hivi
Mim:hello mambo
Yey😛oa Nani
Mim:sorry nimeokota simu ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yey:yah ni mume wangu

Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.Hvi kwanin mnakua hamna huruma,unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!

Whatever happened to you na mimi imenitokea recently nipo Mwanza lakin the lady I cared tooo much kupita kiasi, the lady I have sacrificed mambo mengi kwa ajili yake leo kaniona useless like all I did was nothing. Absolutely nothing.. so haya mambo bhana wakati mwingine nadhani kabla hatuja fall in love ni bora weka wazi kila mtu amueleze mwenzake LIKES na DISLIKES zake....lakin too bad ni kwamba unapo taka kujenga mahusiano mapya ukiwa mkweli kwa mwenzako hasa during first sight HUMPATI
 
Siku nyingine jifunze kutuweka akilini au mahali pengine popote...

Lakini huko moyoni subiri hadi utapopata mume ndio anayestahili kukaa huko...

Umeelewa??

Watuweke sehemu gani sasa
 
Duuu nimecheka hatari. Tatizo ukiambiwa nimeoa hutotoa kipochi manyoya na wakati hicho ndio lengo Lake kuu.

Mimi tukikubaliana hata kama umeoa nakupa.sasa unidanganye nijuee haaaa nitakupiga mbele za watu mpaka unitaje jina la utoto.
 
Eheee... We vp kwani kupanic uko,kumegwa nimegwe mie we upanic uko vepee...relax,ngoma bado ipo hajaondoka nayo wala kuacha nembo yake..
Khaa!! Ndiyo la msingi. Labda kinachokuumiza ni uwajibikaji wa jamaa. Ondoa hasira soon ataibuka mwingine..
 
Duh we kiboko ingawa hauishi majini..... nimekupenda bure japo si kimapenzi.... NADHANI UTAMEGWA SANA KWA KUAMINI KUWA HAWAONDOKI NAYO WALA HAWAWEKI NEMBO... NA IMANI HIYO NDO INAKUFANYA ULALAMIKE LEO

Najibu mtu kulingana na ujinga anaongea...mtu akijibu pumba ww unaleta mashudu..
 
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII

Hahaha kibakio unacho?😆😆
 
Salama Jay wewe juzi juzi ulisema unataka mtu wa kuinjoy nae weekend?

Vip ulimpata?

Baada ya kuachana na huyo je umeshapata mwingine?

Ulielewa vibaya...sio mtu Wa kuenjoy naye...kasome thread vizuri...nilisema nin nifanye weekend
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lako uzungu mwingi.Kama hivi vingereza ulivyotumia hapa ndo unavyotumia kuongea lazima uwe mchepuko tu.
 
Tatizo lako uzungu mwingi.Kama hivi vingereza ulivyotumia hapa ndo unavyotumia kuongea lazima uwe mchepuko tu.

Sasa ulitaka niandike English mwanzo mwsho utasahihisha au?
 
Upo desperate na mahusiano.
Ndio maana yeyote yule aliye 'good to be true' unamkubali.
Take your time.
 
Eheee... We vp kwani kupanic uko,kumegwa nimegwe mie we upanic uko vepee...relax,ngoma bado ipo hajaondoka nayo wala kuacha nembo yake..

Unajisikia unavyoongea. You sound desperate. Ila kiukweli nanyi fanyeni ka homework kidogo. Hizo akili mnafanya nayo nini kama sio kufikiri? Mtu kukutokea tu ushawaza ndoa.Khaaa
 
Unajisikia unavyoongea. You sound desperate. Ila kiukweli nanyi fanyeni ka homework kidogo. Hizo akili mnafanya nayo nini kama sio kufikiri? Mtu kukutokea tu ushawaza ndoa.Khaaa

Umeona wapi nimeongea kuhusu kuwaza ndoa...?huyo nimemjibu kulingana na ujinga aliyoandika,desperate or not huwezi kuuzuia moyo uweke pause eti usipende
 
Mama jitahid kumsahau,,,ila nahis chaguo lako sahihi n mm mama mungu kakuonyesha huku kwang.
 
Back
Top Bottom