Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo..this guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine
Conversations ikawa hivi
Mim:hello mambo
Yey😛oa Nani
Mim:sorry nimeokota simu ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yey:yah ni mume wangu
Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.Hvi kwanin mnakua hamna huruma,unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII
Invisible check heading ya hii kitu naona imekaa kinyumenyume, halafu naomba unipe access ya kule ukubwani pale down. Thanks!Mbona heading na content haviendani nilifikiri unashukur wassup kukupatia mpenzi kumbe n kisaa pole mam next time uwe na akili
Mhhhhhhh
Mbona kama akili yangu imekataa kukuelewa? uwe na mtu mwaka hajawahi kukupeleka nyumbani kwake na bado tu hujijui kama jamaa anajipigia tu aende zake basi kichwa chako kina matatizo.
taty uko vizuriUnapompenda mtu huwezi kucontrol feelings, na sisi wanawake tukipenda kweli tunajiweka mzima mzima, ndivyo ilivyo. Jamaa alitakiwa awe muwazi ili bidada aelewe kabisa ni aina gani ya mahusiano anayoingia.
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII
Mimi tukikubaliana hata kama umeoa nakupa.sasa unidanganye nijuee haaaa nitakupiga mbele za watu mpaka unitaje jina la utoto.
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII
this guy has always been busy aisee....one thing i have learnt,mwanaume akiwa busy kupita maelezo kuna something behind
Ndio hivyo huu moto wangu ukidanganya umeunguaHii adhabu imenifanya nitetemeke vidole vyote
ha ha sio mimi etiiii mimi simvumilii mwanaume mwongo.duuuh huo mkwara 2 wa2 wanakukana n unakua mpole
ha ha ha swahibaaaaa...sema wew siwez kukupiga kwa huruma.Hahaaa, basi mi sijaoa nilikudanganyaga tu bana, ila nina watoto 2, ndo nimekwambia ukweli sasa ivooooo!!
hapo kwenye herufi kubwa pamenichekesha kweli...
Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...
Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo.
This guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..
Kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..
I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine
Conversations ikawa hivi
Mimi: hello mambo
Yeye: Poa Nani
Mimi: Sorry nimeokota simu Ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yeye: Yah ni mume wangu
Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.
Hvi kwanin mnakua hamna huruma, unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII