Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

Ngoja nikatie maji nywele zangu na mie maana mmh!
 
Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo..this guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine

Conversations ikawa hivi
Mim:hello mambo
Yey😛oa Nani
Mim:sorry nimeokota simu ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yey:yah ni mume wangu

Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.Hvi kwanin mnakua hamna huruma,unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!

Sasa mbona heading na content ya thread ni one people different color? Ila siku nyingine usikurupukie mapenzi ya mtandaoni,jipe mda wa kujuana vya kutosha la sivyo mtaishia kugegedwa na kutemwa kama G, sawa Sawa?
 
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII

hapo kwenye herufi kubwa pamenichekesha kweli...
 
Mbona heading na content haviendani nilifikiri unashukur wassup kukupatia mpenzi kumbe n kisaa pole mam next time uwe na akili
 
Mbona heading na content haviendani nilifikiri unashukur wassup kukupatia mpenzi kumbe n kisaa pole mam next time uwe na akili
Invisible check heading ya hii kitu naona imekaa kinyumenyume, halafu naomba unipe access ya kule ukubwani pale down. Thanks!
 
Last edited by a moderator:
Mbona kama akili yangu imekataa kukuelewa? uwe na mtu mwaka hajawahi kukupeleka nyumbani kwake na bado tu hujijui kama jamaa anajipigia tu aende zake basi kichwa chako kina matatizo.

Mkuu mbn wang niko nae miaka mitano na cjapeleka hom??
 
Unapompenda mtu huwezi kucontrol feelings, na sisi wanawake tukipenda kweli tunajiweka mzima mzima, ndivyo ilivyo. Jamaa alitakiwa awe muwazi ili bidada aelewe kabisa ni aina gani ya mahusiano anayoingia.
taty uko vizuri
 
Last edited by a moderator:
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII

Hii adhabu imenifanya nitetemeke vidole vyote
 
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII

Hahaaa, basi mi sijaoa nilikudanganyaga tu bana, ila nina watoto 2, ndo nimekwambia ukweli sasa ivooooo!!
 
Hahahahahahaaaa wewe mwenyewe umekiri kuwa hukuwa na nia naye, na kwamba hakuwa love at first sight so what did you expect from him????????????
 
Hii adhabu imenifanya nitetemeke vidole vyote
Ndio hivyo huu moto wangu ukidanganya umeungua
duuuh huo mkwara 2 wa2 wanakukana n unakua mpole
ha ha sio mimi etiiii mimi simvumilii mwanaume mwongo.
Hahaaa, basi mi sijaoa nilikudanganyaga tu bana, ila nina watoto 2, ndo nimekwambia ukweli sasa ivooooo!!
ha ha ha swahibaaaaa...sema wew siwez kukupiga kwa huruma.
hapo kwenye herufi kubwa pamenichekesha kweli...

cheka tuu ila usiwe unadanganya
 
Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...

Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo.

This guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..

Kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..

I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine

Conversations ikawa hivi

Mimi: hello mambo
Yeye: Poa Nani
Mimi: Sorry nimeokota simu Ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yeye: Yah ni mume wangu

Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.

Hvi kwanin mnakua hamna huruma, unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!

mbona heading na passage haviendani? lkn si hajawahi kukutongoza ila kukuandikia ujumbe only once? imekuwaje ukamweka moyoni kiasi hicho hata hajasema lolote na wewe? ubatisha weww
 
Pole sana dear...sijui wanaume wanaonaga ugumu gani kufunguka kwamba wameoa...sijui wamelogwaaaaaa. Kwani kama u km eoa si unafunguka tuu ili binti akiamua kuwa mchepuko ajue!!!
OLE WA MTU ANIDANGANYE HAJAOA NIJE NIGUNDUE....NITAMPIGA MPAKA KILA ANAYEMUONA ANAMSKIKITIKIA KWAMBA HUYU SIO KUPIGWA TUU NA KUBAKWA AMEBAKWA....SHEZIIIIII

Please usije kunipiga bure,nakwambia ukweli sasa nimeoa.
 
Back
Top Bottom