Mkuu ni kudubiria tu. Ila tanapa atleast wangekuwa wanatoa list ya majia ambao wako selected.
Mtu ajue ameitwa au lah.
Laki. Hii kukausha.. ni mwanya wa urasimu. Maana wanaweza ita watu wao wakawapachika bila mtu kuhoji.
Sent using
Jamii Forums mobile app