mutant gene
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 876
- 326
Wakuu kama mnakumbuka niliweka thread humu ndani ya kuwa ninatafuta mke, hatimae nimempata tena ana vigezo vile ambavyo nilivyokuwa ninavitaka( japokuwa kuna wengine walinivunja moyo ) yaani kwa ufupi ni binti mwenye sifa nilizokuwa nazitaka hadi nyingine zimezidi. Tarehe 15 mwezi huu ninapeleka posa....
Kwa wale ambao mnatafuta humu endeleeni kutafuta wakuu mtapata tu.....
Asanteni nyingi kwa aliyeanzisha JF.ubarikiwe....
Kwa wale ambao mnatafuta humu endeleeni kutafuta wakuu mtapata tu.....
Asanteni nyingi kwa aliyeanzisha JF.ubarikiwe....