Asante sana Gambo Arusha tutakukumbuka !

Arusha ni wajinga sana
Yaani mna muacha mkazi wa Arusha mna mchukua wakuja Ambaye hata aasaidia maana mission yake ni uwaziri.
Nawaonea huruma sana watu wa Arusha..
 
sio jemedali,kiswahili sanifu ni jemedari
 
Gambo ana laana tena kalaaniwa mno hasa pale alipomdhihaki yule mu dada kumuita degree ya chupi. In short Gambo ni jinga jinga halina akili. He will go down ktk maisha yake na bado. Huwezi shindana na mfumo halafu upete. He is completely idiot
 
Gambo kama reform zinafanyika ,anaweza kuwa Mbunge hata bila kupitia ccm , bali kwa jimbo lolote ndani ya Arusha , namanisha kama zinafanyika reforms ,pale Arusha mjini Lema anachukua ilo jimbo saa nne hasubui
 
Ukitaka kuwa salama kwenye siasa Kibali kuwa mwizi au usiwahoji wezi vinginevyo uombe tuu Mungu aamue ugomvi ila Kwa uzoefu wa hapa Duniani,waovu hawana Mpango wa kufa Leo Wala kesho.
 
Ukitaka kuwa salama kwenye siasa Kibali kuwa mwizi au usiwahoji wezi vinginevyo uombe tuu Mungu aamue ugomvi ila Kwa uzoefu wa hapa Duniani,waovu hawana Mpango wa kufa Leo Wala kesho.
Sasa hapo si unatafuta kutengeneza taifa liwe kama Mexico au Chile huko,maguatemala

Ova
 
Huyo Bashite mwenyewe aombe Mungu CHADEMA wasitie mguu kwenye uchaguzi, hawezi kushinda uchaguzi huru na wa haki hapo chuga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…