Asante sana Gambo Arusha tutakukumbuka !

Now and then

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
617
Reaction score
1,722
Asante Gambo , hakika tutakukumbuka Ila ndo hivyo tulitaka utuhudumie Ila haikuwa riziki .

Pamoja Sana katika upambanaji wako .

Nayafikiria maisha mapya bila vyeo sijui yatakuaje na mke wako ameshaporwa uafisa na sasa anapiga chaki

Pole Sana jemedali
 
Samahani, nje ya maada.

Hivi soko la samaki kambale lipoje kwa hapa dar?

Nina tenki, nataka niyafuge atleast nipate hela ya kubadilisha mboga.

Mnisamehe kwa kuingilia maada.
Mkuu tank la ujazo gani, emb naomba nami nipe dondoo namna ya kufanya. Nina tank(Simtank) 2000ltrs halina kazi hapa.
Ukiwatiamo wanastawi bila shida?
 
Bado mapema
 
Mkuu tank la ujazo gani, emb naomba nami nipe dondoo namna ya kufanya. Nina tank(Simtank) 2000ltrs halina kazi hapa.
Ukiwatiamo wanaatawi bila shida?
Nipe hilo tank nikupe hela, kambale anapenda tope huwezi kumfuga Kwa tank akastawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…