Asante Rais Magufuli kwa kuwakumbuka Vijana waliokupaigania wakati wa Kampeni Uchaguzi Mkuu...

Charity begins at home, kama hutaki unashit
hapa sio blah blah kuna maslahi ya taifa letu. rais arudi atazame Standing Order zinasemaje katika nafasi hizi? wengine tunaipenda zaidi nchi yetu kuliko mavyama yenu haya.
 
hapa sio blah blah kuna maslahi ya taifa letu. rais arudi atazame Standing Order zinasemaje katika nafasi hizi? wengine tunaipenda zaidi nchi yetu kuliko mavyama yenu haya.
Mkuu una uhakika teuzi zilizopita hazikuwa affiliated na siasa mpaka unaamua kukomaa na hizi za leo?
 
hongera sana mama la mama FF. mleta mada kwenye list ulimsahau mkulu wa ubungo (mzee wa katiba ya wananchi). hongera nyingi kwa Kippi W.(DC Moshi) uteuzi huu umekuponya maumivu ya teke la mbavu toka toka binti kisauti kikavu wa kawe. Naimagine tu jinsi mzee wako alivopigana kijeda kufuta ukuu wa wilaya kumbe hakujua alitaka kumzibia rizki mwanaye.
 
wale vijana 46 wamo humo? no way kama elimu wanayo haina shida wakatutumikie tu!
 
Baada ya Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya na baadhi ya mikoa kufanyika,kulikuwa na "minong'ono" mimgi kwenye korido za Lumumba na Makao Makuu,kuwa vijana wengi waliopigania chama kuanzia mitandaoni mpaka "field" wametupwa kapuni,hali iliyozua sintofahamu na kushusha morali.

Vijana hawa walipigana kufa na kupona kuhakikisha chama kinarudi madarakani licha ya kuwepo upinzani mkali sana uliotishia "uhai" wa chama,upinzani wa nje na ndani ya chama ulitikisa kweli kweli harakati za kuingia Ikulu kwa mara ya Tano.Juhudi za vijana hawa wakiwa field na mitandaoni zilichangia kwa kiasi ushindi wa CCM.Licha ya matusi na kejeli mitaani na mitandaoni vijana hawakukata tamaa.

Hatimaye uteuzi wa makatibu Tawala wa Wilaya nchini umekumbuka kundi kubwa la vijana waliokuwa mstari wa mbele field na mitandaoni kukipaigania chama.Hongera sana kwa vijana wenzangu ambao mmepikwa na mmeiva kulitumikia Taifa. Nyinyi ni zao la Uvccm na Shirikisho la Vyuo Vikuu. Nendeni mkapige kazi kwa uadilifu mkawatumikie watanzania vyema. Hakika tumefurahi sana. Tunawatakia kila la Kheri katika majukumu yenu mapya.

* Joseph Chitinka Meshack
* Kheri James
* Asenga Abubakar
* Husna Sekiboko
* David John Mwakiposaa
* Edward Jonas Mpogoro
* Mtela Mwampamba
* Hashimu Komba
* Gift Isaya Msuya
* Jasinta Venant Mboneko
* Ally Nyakia Chilukile
* Faiza Suleiman Salim
* Adam H. Mzee
*Lameck Lusesa

Mwisho.Tunapongeza sana mamlaka za uteuzi kwa kuweka imani hii kubwa kwa vijana. Ahsante Dr.Magufuli kwa kutuamini vijana.
Tanzania yenye viwanda na ukada hatuendi popote.Tunarudia makosa yaliyopita kuweka makada kwenye viwanda na kusahau wataalam ni wakati tu.
 
unavyosema affiliated na siasa una maanisha nn? taratibu lazima zifuatwe.
Nilitaka nikujibu kwa mifano harisi kutoka utawala uliopita ila sitafanya hivyo, elewa tu, kama mbunge wako ana elimu ya huku na kule alafu yuko ndani ya kamati na mnamwona ni think tank katika chama chenu why not to a professional one, who forms that small part of the so called elites in your country? Unamaanisha hawa walioteuliwa hawana elimu ama ni kelele tu kama kawaida yenu? hebu kuwa straight on your doubts
 
unavyosema affiliated na siasa una maanisha nn? taratibu lazima zifuatwe.
Nilitaka nikujibu kwa mifano harisi kutoka utawala uliopita ila sitafanya hivyo, elewa tu, kama mbunge wako ana elimu ya huku na kule alafu yuko ndani ya kamati na mnamwona ni think tank katika chama chenu why not to a professional one, who forms that small part of the so called elites in your country? Unamaanisha hawa walioteuliwa hawana elimu ama ni kelele tu kama kawaida yenu? hebu kuwa straight in your doubts
 
Tulidhani tumepata Raid ambaye anamacho ya kuuna mzaha kwa sura take. Niliamini Nonsense sasa imekosa nafasi.
Utumishi wa umma mnapeana zawadi tena waziwazi.
'Darwin's nightmare'

Kweli Umasikini Huanzia kichwani sio mikononi.
Alivyoanza Magufuli Hapafanani na uteuzi huu wa Wampum I za Vuvuzera.
Rais ameishiwa pumzi amerudi kuwasikiliza walewale.

Eti yanapongezana, aibu ya mama Afrika.
Tulihitaji kuliepuka taifa LA uchaguzi. Tufuate new destination. Taifa LA maendeleo.

Kwa mtindo huu kumbe Magufuri hana anachokiamini Tutasubili sana.
Wivu wa kike unakusumbua, hata kama CDM wangepewa nchi vijana wa CDM ndiyo wangeteuliwa.
 
huu utaratibu wa kupeana vyeo kwa fadhila kiasi hiki kinashusha ufanisi serikalini. makatibu tawala ni wataalamu. huwezi kuwaingiza wanasiasa katika nafasi hizi. kwa hili rais ameteleza....
Mkuu kwani wewe ulitaka ateuliwe nani? Hao walioteuliwa una uhakika hawatafanya kazi? Au kwa vile ni wapinzani wako kisiasa ndio unasema hivyo
 
Nilitaka nikujibu kwa mifano harisi kutoka utawala uliopita ila sitafanya hivyo, elewa tu, kama mbunge wako ana elimu ya huku na kule alafu yuko ndani ya kamati na mnamwona ni think tank katika chama chenu why not to a professional one, who forms that small part of the so called elites in your country? Unamaanisha hawa walioteuliwa hawana elimu ama ni kelele tu kama kawaida yenu? hebu kuwa straight in your doubts
Mkuu Rweye hebu tujadiliane kwa hatua na kwa hoja...si kwamba hawana elimu ila hawana vigezo vya nafasi hizo,zaidi ya elimu,hizo nafasi zina vigezo vya ziada ambavyo hao wateuliwa wengi wanakosa!!Na hivi vigezo si vya kisiasa bali vya kisheria z kiutumishi....

Utumishi wa umma kote duniani una taratibu zake...Hebu tusiunajisi sababu ya hizi siasa tu

Mkuu labda uwe hujafanya kazi kwenye utumishi wa Umma,lakini DAS na RAS ni watu muhimu sana kwenye utumishi wa umma sanaa tuu!!Hiki cheo hakiitaji siasa!Tutashangaa kesi zinajaa Mhakama ya Kazi au CMA(Commision for Mediation and Arbitration)

Cheo hiki si cha mwanaisiasa bali cha mtumishi ambaye ni Parmanent and Pensionable...anatakiwa mtu aliyekulia ndani ya utumishi wa umma hata kwa miaka kumi,mwenye uelewa wa "Organizational Culture" ya ofisi za umma hasa kwa upande wa utumishi,ni cheo kinachotokana na mtu aliye ndani ya utumishi anayepandishwa akiwa ndani ya utumishi wa umma

Hawa vijana wengi walioteuliwa hawajawahi kuajiliwa na serikali,hawa wote walikuwa Lumumba na CCM Makao Makuu Dodoma.Hawajafanyiwa usaili wa aina yoyote kuingia katika nafasi hizo,ndio maana unaona hata Utumishi hawana CV zao ndio maana wameambiwa waende nazo.Wanaenda kuongoza watu waliodumu kwenye utumishi wa umma kwa muda mrefu na weledi wa kutosha katika kanuni,taratibu na sheria za utumishi

Kifupi ni kuwa DAS au RAS ni sawa na Katibu Mkuu katika Wizara,na sio Waziri...Waziri anaweza kuja leo na kesho akashindwa uchaguzi akakosa hiyo nafasi,lkn Katibu Mkuu yupo pale pale,yeye ndio mwenye kujua haswaa Wizara na mahitaji yake,hatokani na siasa au vyama bali mfumo ndani ya utumishi wa umma.Sasa DAS ni kama Katibu Msaidizi na DC kama Naibu Waziri,Wakati RAS ni kama Katibu Mkuu na RC kama Waziri.DC na RC wanaweza hamishwa hamishwa sbb za kisiasa lakini si RAS na DAS

Hawa vijana wanaenda kukutana na watu wengine ndani ya ofisi ya DAS wenye uweledi kuwazidi,hawa wamedumu utumishi na wameingia kwa usaili na si kubebwa.Angeteuwa basi wale walio na weledi,uzoefu na ufahamu wa hii kazi na si hii "shukrani ya kisiasa"

Kwa hili sipo na JPM...hii ni upotofu,hii si sawa!!Fanyia siasa koooooote lakini si kwenye "Muundo wa Utumishi" wa umma unaoongozwa na Sheria,Kanuni na Taratibu!!Sasa nini Maana ya kuwa na "Government Standing Order?"
 
Ni hatari sana kwa maendeleo ya nchi kuteua viongozi kwa madai kwamba walisaidia kukirudisha chama madarakani , kumbe hata MTU hana uwezo na weledi wa kuongoza so long as Amepgania ushindi wa chama Fulani hata kama ni kilaza namna gani ahesabu yeye ni kiongoz? Duh hii ni tz kwel, kwa mtindo huu ni ngumu sana kwa tz kufikia uchumi wa kati
 
Cheo hiki si cha mwanaisiasa bali cha mtumishi ambaye ni Parmanent and Pensionable...anatakiwa mtu aliyekulia ndani ya utumishi wa umma hata kwa miaka kumi,mwenye uelewa wa "Organizational Culture" ya ofisi za umma hasa kwa upande wa utumishi

Organizational Culture iliyokuwepo haikuwa nzuri.Kulikuwa na utendaji mbovu mno serikalini.Kuuondoa huhitaji kuwa na hao waliokuwepo.Njia anayotumia Raisi ni kuleta watu wapya watengeneze new culture.Hiyo culture yako ya zamani mliyokuwa nayo hiyo miaka 10 baki nayo mwenyewe.Haikutusaidia kama nchi kutoka kwa spidi kiutendaji ndani ya serikali.

Kama wewe ndio wale vikongwe wa serikalini unatakiwa ujue kuwa kuna new organization culture inakuja kama kimbunga.Jipime utaiweza au huiwezi.Kama huiwezi tupishe tupite acha kazi serikalini upesi kabla ya kutumbuliwa kwa kushindwa kuendana na kasi
 
Organizational Culture iliyokuwepo haikuwa nzuri.Kulikuwa na utendaji mbovu mno serikalini.Kuuondoa huhitaji kuwa na hao waliokuwepo.Njia anayotumia Raisi ni kuleta watu wapya watengeneze new culture.Hiyo culture yako ya zamani mliyokuwa nayo hiyo miaka 10 baki nayo mwenyewe.Haikutusaidia kama nchi kutoka kwa spidi kiutendaji ndani ya serikali.

Kama wewe ndio wale vikongwe wa serikalini unatakiwa ujue kuwa kuna new organization culture inakuja kama kimbunga.Jipime utaiweza au huiwezi.Kama huiwezi tupishe tupite acha kazi serikalini upesi kabla ya kutumbuliwa kwa kushindwa kuendana na kasi
Nilikuwa mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 10 kabla ya kuamua kujiaajili na baadae kuajiliwa na mashirika ya Kimataifa.Nimeipigania nchi yako ndani na nje ya nchi.Wakati wewe ukiwa umelala na mke wako mimi nilikuwa mpaka wa Tz na Burundi kuhakikisha adui haingii kukuondolea wewe furaha ya kukumbatiwa na mkeo.

Nimekaa mpaka wa Tz na Rwanda kwa muda mrefu,usiku na mchana kuhakikisha Watutsi hawaingii na kuivuruga mikoa ya pembezoni,wakati wewe ukijikinga na mvua ndani ya paa la nyumba yenye gypsum mimi nilikuwa chini ya handaki lenye kurunzi hafifu...wakati wewe ukirudi kila jioni na kuwaona watoto wako na afya zao nzuri,mimi nilikaa mwaka mzima bila kuwaona wanangu,lengo ni kuhakikisha amani unayoipata wewe na watoto wako iendelee kudumu.

Ulipokuwa unatoka "out" na hawala yako na kumuacha mke na watoto nyumbani,mimi sikuwa na nafasi hata ya kutoka na mke wangu halali wa ndoa..Katikati ya misitu ya Congo nilibeba nembo ya Taifa lako,nadni ya mito na misitu minene yenye wanyama wakali niliipeperusha bendera ya Taifa lako.

Kwenye milima ya Lebanon na mipaka ya Israel nilisimama badala ya Taifa zima.Katikati ya mapango ya Hezbolah niliinama na kuikumbuka Tz ambayo wala sikuwaza kama ni ya CCM wala ya UKAWA bali Tanzania ya Watanzania,kule hawakunidhihaki wala kunikebehi sbb wanajuwa thamani ya mtu kuacha nchi yake na kwenda kutunza amani ya watu wengine.

Kwenye kingo za mto Litani ndipo nilipojipoza na joto la Lebanon,Mji wa Naquora ndipo nilipookoa maisha ya wamama na watoto waliokuwa wanateseka kwa kukosa msaada,hapa nilizalisha wamama bila kuwa na elimu ya Ukunga sabab ya mishituko ya mabomu na mizinga,hapa ndipo nilipoona machozi na sala za wamama wakiniombea kwa Mungu wao kwa kilio na machozi.Sidon na Beat Jbail,Tibnine na Tibnin nimeacha nembo ya Taifa langu na si ya chama chochote.

Unapojadiliana humu usijadiliane na kila mtu ukadhani ana maslahi ya kisiasa,Organizational Culture si kuleta watu wapya,bali ni kubadili kanuni,taratibu na sheria.Nafasi za DAS na RAS haziongozwi na hisia na teuzi za kisiasa bali kwa kanuni na sheria....Ndio maana kuna Gvt Standing Order.Katika GSO tumejiwekea utaratibu wa vigezo vya DAS na RAS...Zaidi ya kuwa na Elimu kama sifa ya kwanza,bado kuna vigezo vingine.Moja wapo ni kuwa umetokana na utumishi wa umma na si "fadhila za siasa".

Unamteuwa DAS bila kuwa na Vimvuli vya vyeti vyake??Kijana acha mahaba "mse...nge"....DAS ni matokeo ya utumishi wa umma uliopatakana kwa usaili na promotion yake ni ya uteuzi....Sasa unakuwa na DAS wa Uteuzi bila usaili na bado unajiona wewe ni mfuasi wa "Kanuni,Taratibu na Sheria?".....Shika adabu yako bwana YEHODAYA
 
Nilikuwa mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 10 kabla ya kuamua kujiaajili na baadae kuajiliwa na mashirika ya Kimataifa.Nimeipigania nchi yako ndani na nje ya nchi.Wakati wewe ukiwa umelala na mke wako mimi nilikuwa mpaka wa Tz na Burundi kuhakikisha adui haingii kukuondolea wewe furaha ya kukumbatiwa na mkeo.

Nimekaa mpaka wa Tz na Rwanda kwa muda mrefu,usiku na mchana kuhakikisha Watutsi hawaingii na kuivuruga mikoa ya pembezoni,wakati wewe ukijikinga na mvua ndani ya paa la nyumba yenye gypsum mimi nilikuwa chini ya handaki lenye kurunzi hafifu...wakati wewe ukirudi kila jioni na kuwaona watoto wako na afya zao nzuri,mimi nilikaa mwaka mzima bila kuwaona wanangu,lengo ni kuhakikisha amani unayoipata wewe na watoto wako iendelee kudumu.

Ulipokuwa unatoka "out" na hawala yako na kumuacha mke na watoto nyumbani,mimi sikuwa na nafasi hata ya kutoka na mke wangu halali wa ndoa..Katikati ya misitu ya Congo nilibeba nembo ya Taifa lako,nadni ya mito na misitu minene yenye wanyama wakali niliipeperusha bendera ya Taifa lako.

Kwenye milima ya Lebanon na mipaka ya Israel nilisimama badala ya Taifa zima.Katikati ya mapango ya Hezbolah niliinama na kuikumbuka Tz ambayo wala sikuwaza kama ni ya CCM wala ya UKAWA bali Tanzania ya Watanzania,kule hawakunidhihaki wala kunikebehi sbb wanajuwa thamani ya mtu kuacha nchi yake na kwenda kutunza amani ya watu wengine.

Kwenye kingo za mto Litani ndipo nilipojipoza na joto la Lebanon,Mji wa Naquora ndipo nilipookoa maisha ya wamama na watoto waliokuwa wanateseka kwa kukosa msaada,hapa nilizalisha wamama bila kuwa na elimu ya Ukunga sabab ya mishituko ya mabomu na mizinga,hapa ndipo nilipoona machozi na sala za wamama wakiniombea kwa Mungu wao kwa kilio na machozi.Sidon na Beat Jbail,Tibnine na Tibnin nimeacha nembo ya Taifa langu na si ya chama chochote.

Unapojadiliana humu usijadiliane na kila mtu ukadhani ana maslahi ya kisiasa,Organizational Culture si kuleta watu wapya,bali ni kubadili kanuni,taratibu na sheria.Nafasi za DAS na RAS haziongozwi na hisia na teuzi za kisiasa bali kwa kanuni na sheria....Ndio maana kuna Gvt Standing Order.Katika GSO tumejiwekea utaratibu wa vigezo vya DAS na RAS...Zaidi ya kuwa na Elimu kama sifa ya kwanza,bado kuna vigezo vingine.Moja wapo ni kuwa umetokana na utumishi wa umma na si "fadhila za siasa".

Unamteuwa DAS bila kuwa na Vimvuli vya vyeti vyake??Kijana acha mahaba "mse...nge"....DAS ni matokeo ya utumishi wa umma uliopatakana kwa usaili na promotion yake ni ya uteuzi....Sasa unakuwa na DAS wa Uteuzi bila usaili na bado unajiona wewe ni mfuasi wa "Kanuni,Taratibu na Sheria?".....Shika adabu yako bwana YEHODAYA
Nakupongeza kwa devotion yako kwa ajiri ya nchi yetu, huo ndo uzalendo mkuu.

Nakubaliana na wewe pia katika kile kimachosemwa kama msingi wa GSO, hawa wateule wengi hawana hiyo historia ya kufanya katika serikali na kwa mkataba sahihi.

Uzuri mmoja ambao hawa ndugu zetu wanao ni kwamba wakiwa ndani ya chama na kwa kupitia malezi ya na misingi ya chama, ikiwa na maana ya CCM ni taasisi kamili katika kila idara, muundo, mikakati mpaka malengo tofauti ilivyo kwa vyama vingine, naamini hawa waheshimiwa watakuwa na udhubutu wa kuweza kusoma kwa haraka maana nzima ya uongozi na uongozi wa umma.

Sioni kama inakuja kuwa kazi ngumu sana kwao ikizingatiwa tiwa kuna njia kadhaa za kuweza kuwawezesha kuzimudu nafasi zao mpya. Inanikumbusha kidogo mambo ya mtu kuwa waziri kabla hata ya kuwa n.waziri, kuwa spika hujawahi hata kuwa mbunge n.k.

Ijapokuwa yamehojiwa na mengi yametokea katika zama hii, jambo moja na sahihi ni kwamba, hatuwezi kuacha kuwa na watu makini kwasababu tu kitu fulani kidogo hakipo.

Na pia, sote ni mashahidi ya mifumo iliyopita ambayo sote tuliipigia sana kelele, kwa vile kaja rais mpya basi acha tuone mifumo mipya ikitumika walau na kama itaonekana inakidhi basi twaweza kuiweka kisheria na kikanuni.
 
Back
Top Bottom