Asante Ndimara Tegambwage umenena vyema

Asante Ndimara Tegambwage umenena vyema

Ndimara

Zitto , na kitila walipoelezwa tuhuma zao kwa mara ya kwanza

walisema kuwa wanajiuzulu kwa hiari yao


baadae Lissu akaja na ujinga unaoendana na sura yake kuwa hawawezi kujiuzulu kwa heshima, acha wadhalilike.......ndiyo haya sasa
 
Huyu Tegambwage kwa kihaya maana yake ni mtu asieongelewa vizuri na watu,ni muhuni alikuwa mbunge wa NCCR Muleba kaskazini 1995-2000 akafanya uhuni kuanzia alivyopata ubunge mpaka anamaliza muda ndo tulimuona jimboni akiomba kura tena,tena anyamaze kabisa muhuni tu. Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
jamani hoja!!!!
 
Good analysis, Zitto unakazi ya kututhibitishia Kuwa wewe siyo mbinafsi kama tunavyo kutazama sasa huku nje.

Akudhihirishie nini tena??? Kama washutumiwa wakukuwa watatu yeye kawatema wenzake kaenda mahakamani aline, huyu ni mtu au fisi?? Zutto ni mzigo, habebeki mgongoni wala kifuani, nadhani ana virus ya ubongo.
 
fanya uchanganuzi mwenyewe uone alichoandika kama hakina mantiki, ushabiki maandazi hauna maana katika kipindi hiki ambacho umeme umepanda maradufu na hali ya maisha inazidi kuwa mbaya kila ukicha...

ni kazi ngumu sana kumuonesha mtu mwenye macho jambo ambalo kwa macho yake anaona lakini aangali ila anarazimisha akili yake iamini kama anavyoangalia na si kama anavyoona.
 
From @GALinoma:
"Zitto ameijenga chadema na amewavutia wengi waingie chadema, ukiondoa Mbowe wengine wote pale juu wamemkuta Zitto na ni yeye aliyewachagiza wajiunge chadema leo wanajaribu kumtusi kivipi?Tunaofahamu siasa na wanasiasa hawa tuliona mbali tukaonya na kushauri suala hili litakigharimu chama, lakini ikadharaulika, wakabeza naona shughuli yake wanaipata sasa mpaka wanakimbia mahakamani. Zitto sio mwepesi kama baadhi ya watu wanavyojidanganya. Tulisema mtu huyu si wa kung'oa na kutupa kirahisi ni mzito kama jina lake na hii ni kutokana na mchango wa jasho lake alioutoa kuijenga CDM. Vijana walioanza siasa 2010 leo wamepandikizwa chuki na uongo kutwa nzima wanatukana hovyo mitandaoni. Wengine hatusemi lakini tumeona mengi na kuwaona wengi. Leo hii chama kinavurugwa inaumiza sana. Tatizo kuna watu wanajipa mamlaka ya kukiendesha chama ndio hao hao wavurugaji, watunga uongo, watunga fitna na uzandiki. Haya hayasaidii bali kuathiri ustawi wa chama. Mtu mbunge mzima unamobilize vijana waache kufanya kazi wakajazane mahakamani kuzomea. Huku ni kuwajaza ujinga. Naskitika vijana wamegeuzwa vipasa sauti vya wahafidhina, walilia posho na wafuja ruzuku. "

Kumkuta sio kinga ya kumshughulikia akifanya madudu.Hata kama chama angekianzisha yeye sasa amekuwa huni ashughulikiwe tu.
 
The best revenge is to move on and get over it. Don't give someone the satsfaction of watching you suffer.
 
Namfahamu huyu bwana Ndimara vizuri sana, yuko huru sana kimawazo ni ngumu kumtumia kama wengi wanavyofikiri. Good analysis.
 
zzk kawaleta uvccm mahakamani, waratibu wa vijana hao wa zzk ni ccm; zungumzia na hili.

nyie kila linalotokea baya kwenu mnalalamika.
1.watu wakijaa ktk mikutano ya wenzenu mnasema WAMELIPWA ila kwenu aaaaaaaaaaaaaah mnapendwa
2.mkishindwa UCHAGUZI mnasema oooooh tumeibiwa kura,ila mkishinda ooooooooooh tumeanza na mungu wao wameanza na shetani
3.mkishindwa mahakamani-ooooooh mahakama imetuonea,,ila ikitokea kwa wenzenu mnasema mahakama imetenda haki
4.mmemtesa mwenyekiti wenu temeke.sasa mnakuja na mkakati wa uongo,kana kwamba hamkusikiliza ITV wakati bwana yona akielezea jinsi anavyowafahamu waliomtesa

watanzania hawa wanawachoka sasa
 
From @GALinoma:
"Zitto ameijenga chadema na amewavutia wengi waingie chadema, ukiondoa Mbowe wengine wote pale juu wamemkuta Zitto na ni yeye aliyewachagiza wajiunge chadema leo wanajaribu kumtusi kivipi?Tunaofahamu siasa na wanasiasa hawa tuliona mbali tukaonya na kushauri suala hili litakigharimu chama, lakini ikadharaulika, wakabeza naona shughuli yake wanaipata sasa mpaka wanakimbia mahakamani. Zitto sio mwepesi kama baadhi ya watu wanavyojidanganya. Tulisema mtu huyu si wa kung'oa na kutupa kirahisi ni mzito kama jina lake na hii ni kutokana na mchango wa jasho lake alioutoa kuijenga CDM. Vijana walioanza siasa 2010 leo wamepandikizwa chuki na uongo kutwa nzima wanatukana hovyo mitandaoni. Wengine hatusemi lakini tumeona mengi na kuwaona wengi. Leo hii chama kinavurugwa inaumiza sana. Tatizo kuna watu wanajipa mamlaka ya kukiendesha chama ndio hao hao wavurugaji, watunga uongo, watunga fitna na uzandiki. Haya hayasaidii bali kuathiri ustawi wa chama. Mtu mbunge mzima unamobilize vijana waache kufanya kazi wakajazane mahakamani kuzomea. Huku ni kuwajaza ujinga. Naskitika vijana wamegeuzwa vipasa sauti vya wahafidhina, walilia posho na wafuja ruzuku. "
From @GALinoma:
"Zitto ameijenga chadema na amewavutia wengi waingie chadema, ukiondoa Mbowe wengine wote pale juu wamemkuta Zitto na ni yeye aliyewachagiza
] Sikutarajia kama huna uwezo wa kuchambua mambo
 
Huyu Tegambwage kwa kihaya maana yake ni mtu asieongelewa vizuri na watu,ni muhuni alikuwa mbunge wa NCCR Muleba kaskazini 1995-2000 akafanya uhuni kuanzia alivyopata ubunge mpaka anamaliza muda ndo tulimuona jimboni akiomba kura tena,tena anyamaze kabisa muhuni tu.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

TEGAMBWAGE M.S.E.N.G.E sana katupotezea muda muleba kaskazini tukiwa sekondari kwa kitabu chake duka la kaya ; laana itamurudia kaua mji wa kamachumu kwa kuzuia kuwa wilaya , kakimbia ata nyumba ya kufikia ana ; aende CDM ; Mjinga mkubwa ; Mpaka leo mji umedumaa na mpiga kampeni wake mkuu marehemu padri kapilipili
 
Kumkuta sio kinga ya kumshughulikia akifanya madudu.Hata kama chama angekianzisha yeye sasa amekuwa huni ashughulikiwe tu.

nakubaliana na wewe ktk hili
Tatizo ni pale maamuzi ya kumshughulikia mtu yanapofanywa kwa hisia,kama kungekuwa na ukweli wa mambo sidhani kama ungesikia watu wakipiga kelele,kuna mangapi yamefanyika ndani ya chama na hakuna aliyelalamikia juu ya maamuzi husika.
Ni kweli kuwepo chamani muda mrefu hakukupi hadhi ya kukiharibu chama,lakini pia vyama hivi ni vyema vikawapa wanachama wao uhuru wa kuhoji mambo.
Kumbuka,mzee Mtei anasema maamuzi ya cc ndio ya mwisho,je kulikuwa na haja gani kuwa na katiba inayoruhusu mwanachama kukata rufaa ktk ngazi ya juu?
 
From @GALinoma:
"Zitto ameijenga chadema na amewavutia wengi waingie chadema, ukiondoa Mbowe wengine wote pale juu wamemkuta Zitto na ni yeye aliyewachagiza wajiunge chadema leo wanajaribu kumtusi kivipi?Tunaofahamu siasa na wanasiasa hawa tuliona mbali tukaonya na kushauri suala hili litakigharimu chama, lakini ikadharaulika, wakabeza naona shughuli yake wanaipata sasa mpaka wanakimbia mahakamani. Zitto sio mwepesi kama baadhi ya watu wanavyojidanganya. Tulisema mtu huyu si wa kung'oa na kutupa kirahisi ni mzito kama jina lake na hii ni kutokana na mchango wa jasho lake alioutoa kuijenga CDM. Vijana walioanza siasa 2010 leo wamepandikizwa chuki na uongo kutwa nzima wanatukana hovyo mitandaoni. Wengine hatusemi lakini tumeona mengi na kuwaona wengi. Leo hii chama kinavurugwa inaumiza sana. Tatizo kuna watu wanajipa mamlaka ya kukiendesha chama ndio hao hao wavurugaji, watunga uongo, watunga fitna na uzandiki. Haya hayasaidii bali kuathiri ustawi wa chama. Mtu mbunge mzima unamobilize vijana waache kufanya kazi wakajazane mahakamani kuzomea. Huku ni kuwajaza ujinga. Naskitika vijana wamegeuzwa vipasa sauti vya wahafidhina, walilia posho na wafuja ruzuku. "
From @GALinoma:
"Zitto ameijenga chadema na amewavutia wengi waingie chadema, ukiondoa Mbowe wengine wote pale juu wamemkuta Zitto na ni yeye aliyewachagiza
] Sikutarajia kama huna uwezo wa kuchambua mambo

Haya maandishi nimekopi sehemu,ingawaje baadhi nakubaliana nayo kama mwandishi alivyoelezea.
 
TEGAMBWAGE M.S.E.N.G.E sana katupotezea muda muleba kaskazini tukiwa sekondari kwa kitabu chake duka la kaya ; laana itamurudia kaua mji wa kamachumu kwa kuzuia kuwa wilaya , kakimbia ata nyumba ya kufikia ana ; aende CDM ; Mjinga mkubwa ; Mpaka leo mji umedumaa na mpiga kampeni wake mkuu marehemu padri kapilipili

nitajie faida 2 tu za matusi .
 
Yuko sahihi kabisa. Ni kama maisha ya ndoa, mume anatoa talaka kwa mke kwa tuhuma kuwa mke huyo ni kahaba( na anatoa ushahidi) na mchawi nao ushahidi unatolewa. Kisha mke anaenda kanisani/ mahakamani kupinga ndoa kuvunjika na huko hukumu inatoka kuwa ndoa hiyo haiwezi kuvunjika kwa vile ilifungwa kanisani na ndoa ya kikristo haivunjiki hadi kifo hivyo jamaa amchukue tuu mkewe na waendelee kuishi.
Lakini jee kuna ndoa tena hapo?

Hakuna ndoa isiyovunjwa mahakamani, ndoa zote zinavunjwa kisheria mahakamani zikiwemo ndoa za kanisani.
 
Huyu alihusika sana kuiua NCCR Mageuzi! hivi yuko chama gani kwa sasa?

Kuna jamaa huku hataki kufunga ndoa, kisa eti hawezi kufungishwa ndoa na Padre asiyeoa.
Mwingine hataki kwenda shule kisa eti hataki kusomeshwa na wazazi wake kwa sababu wazazi wenyewe hawakusoma.
 
Hakuna ndoa isiyovunjwa mahakamani, ndoa zote zinavunjwa kisheria mahakamani zikiwemo ndoa za kanisani.
Matola umenielewa lakini? Nasema hivi kama ndoa hiyo inalazimishwa iwepo hata unyumba utakuwepo hapo?
 
Last edited by a moderator:
Kazi nyingine ni tamko la Mzee Mkono (mpaka sasa hajakanusha).
ZZK alisema ana Freelander na Carina ambayo inakaaga Mwadiga.
TL akasema amehongwa NISSAN Patrol na Land Cruiser
Mzee Mkono akasema amemuuzia Patrol na 'anamkodisha' Landcruiser tangu mwaka 2009.

Nisani Patrol Zito alikuwa nayo mwaka 2011 na akwauliaz wahindi wanachimba madini Mpanda, kuna mtu amenitonya kuwa hata landcruzer nayo aliwauzia wahindi hao hao, kwasasa nazitafuta nizipige picha.

 
kwa wale wachache tunaomfahamu Ndimara tengambwage, tunajua kuwa huyu hajawahi kuongoza wala kujiongoza, ni mfuasi na mshabiki katika miaka yote yote ya maisha yake!!!(bado tunamkumbuka kipindi akiwa NCCR)
amejidhihirisha kuwa yuko kundi la WAJINGA wanaodhani ZZK anapambana na chadema.
hawataki kukubali kwamba yeye zzk ndio chadema na wale anaovutana nao ndio wanaotaka kuharibu chama, hawa wazee wanaozeeka wakiwa masikini wa kipato wanageuka kuwa masikini wa kiakili,mawazo na fikra

daaaaah!mamluki wamemfukuza mwenye chama.............. nijuavyo hakuna mwenye chama....... ila kuna wanachama
 
Back
Top Bottom