TEGAMBWAGE M.S.E.N.G.E sana katupotezea muda muleba kaskazini tukiwa sekondari kwa kitabu chake duka la kaya ; laana itamurudia kaua mji wa kamachumu kwa kuzuia kuwa wilaya , kakimbia ata nyumba ya kufikia ana ; aende CDM ; Mjinga mkubwa ; Mpaka leo mji umedumaa na mpiga kampeni wake mkuu marehemu padri kapilipili
mkuu hukuna wahaya wapumbavu kama wewe and unaweza kuwa mnyarwanda.Mimi natoka kijiji kimoja na Ndimara unayoeleza ni upuuz na si kwel badala ya kujadil hoja we unakuja na viloja.Tangu 2000 up to date mleba kaskazin inaongozwa na ccm mbona kamachumu haijawa wilaya?
Ndimara katoa hoja ichambue kulingana na hali iliyopo na si kujidhalilisha.