Hiyo loan board imekuwa kama jini la kunyonya damu kwa vijana, yaani kijana ndo anaanza kazi anarundikiwa deni la milioni 20 hadi milioni 35, halafu mnawaita watoto wa wanyonge. Ideally hawatakiwi kurejesha zaidi ya milioni 5 hasa kwa vyuo vikuu vya umma kwa sababu serikali inawajibika kutoa elimu kwa vijana kwa kutoa pesa za kuendesha vyuo ikiwa ni pamoja na kulipa mishahara ya wahadhiri, sasa hii milioni 20 inatoka wapi utafikiri mtu amechukua mkopo benki......