Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,671
- 851
hahahaa . . . utakutana na bonge la interest mkuu na mwisho utaambiwa unadaiwa mil 27Mimi wananidai million 14. Ila silipi leo wala kesho
hahahaa . . . utakutana na bonge la interest mkuu na mwisho utaambiwa unadaiwa mil 27Mimi wananidai million 14. Ila silipi leo wala kesho
Mkuu sina uwezo wa kulipa hiyo pesa. Acha tu interesr rate iwe kubwahahahaa . . . utakutana na bonge la interest mkuu na mwisho utaambiwa unadaiwa mil 27
asee . . . jipange sana mkuuMkuu sina uwezo wa kulipa hiyo pesa. Acha tu interesr rate iwe kubwa
Nenda pale bodi wape index number yako ya form four watakuangalizia. Wakikuta limeisha watakupa hiyo clearance, wakikuta bado itakulazimu urudi umtaiti mwajiri wako kwamba marejesho alikua anapeleka au laa?
Kwa kuanzia anza na huo utaratibu utapata tu clearance letter.
Shukran mkuuPesa yako utapata mkuu, wewe andika barua ya kuelezea issue yako na vielelezo utakavyotakiwa kuambatanisha.Mimi nilirudishiwa makato yaliyokuwa yamezidi japo utasubiri 3-6 months.
U mean ...Kama kwenye salary slip deni limekwisha badae watakuja Tena kulirejesha ? Ufafanuzi please!Victor Wilbard Mlaki Deni lako Bado ukimaliza Hilo kuna Deni la Value Rention Fee na riba vitaanza kukatwa ukimaliza Deni lililo kwenye salary slip.
Tutamaliza mapema tu kwa 15%Mm nimeanza kurejesha makato ya mkopo wangu wa HESLEB oktoba mwaka 2018.
Na mshahara ghafi unasoma 716k sijui ni lini hili deni nalimaliza ni shidaaa kwa kweli
We jamaa umetoa bonge la ushauri ngoja ni i screenshot KabisaaUshauri Kama una mtoto ebu jaribu kumuandalia mazingira ya ada ya elimu ya juu hapo baadae kwa kuweka akiba asilimia 15 Kama ilivyokua unakatwa na heslb hivyo iwe Kama mwendelezo wa makato



be blessed manYaani iko hivi Deni lililo kwenye salary slip ndo deni halisi ulilokopeshwa ila hilo deni lina penati na value retention fee inayozaa kila mwezi hivyo makato ya kwenye salary slip yakiisha baadae watakuja kuweka hayo mengine ya penati na value retention fee.U mean ...Kama kwenye salary slip deni limekwisha badae watakuja Tena kulirejesha ? Ufafanuzi please!
Sidhani kwa marekebisho waliyoyafanya heslbU mean ...Kama kwenye salary slip deni limekwisha badae watakuja Tena kulirejesha ? Ufafanuzi please!
Mkuu kuna cumulative value retention na inawekwa katika kasima yakeYaani iko hivi Deni lililo kwenye salary slip ndo deni halisi ulilokopeshwa ila hilo deni lina penati na value retention fee inayozaa kila mwezi hivyo makato ya kwenye salary slip yakiisha baadae watakuja kuweka hayo mengine ya penati na value retention fee.
Yaani iko hivi Deni lililo kwenye salary slip ndo deni halisi ulilokopeshwa ila hilo deni lina penati na value retention fee inayozaa kila mwezi hivyo makato ya kwenye salary slip yakiisha baadae watakuja kuweka hayo mengine ya penati na value retention fee.
Kama una kitambulisho cha NIDA watakudaka tu mkuu. Ukinunua kitu nje ya nchi cha zaidi ya milioni 10 watakunasa forodhaniNitakuja kulipa deni hilo milele!!!na hawana ujanja wa kunikamata mahali popote maa a nimeamua zangu kujilimia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
mrejesho. umefanikiwa kumaliza deni?Mm nimeanza kurejesha makato ya mkopo wangu wa HESLEB oktoba mwaka 2018.
Na mshahara ghafi unasoma 716k sijui ni lini hili deni nalimaliza ni shidaaa kwa kweli