Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
hongera sana.. ukimtumaini Mungu yeye hashindwi jambo lolote
exactly mdau,vijana wengi tunampotezea sana ALLAH
hongera sana.. ukimtumaini Mungu yeye hashindwi jambo lolote
Fungu la kumi usimpe mchungaji wako, katoe mitaani kwa watu wenye shida ya kweli, sio kwa ma Rwakatale au Mzee wa upako ambao hawalali njaa.
Fungu la kumi huwa linatolewa kanisani, Ukipeleka fungu la kumi kwa yatima na wajane uanondoa maana ya fungu la kumi
usitoe sadaka kwa kuangalia mtu
Hongera sana Kalamazoo.dah mimi mwaka umekatika na miezi mitatu tangu nimalize chuo ila bado nasota na bahasha
Faida ya kutoa hii sadaka ni ipi?? au ni just mazoea tu???hongera mkuku.ucsahau kutoa sadaka ya malimbuko.b blecd
wadau mambo vp? Niko hapa kuwa encourage kutokata tamaa katika kusaka ajira sababu after long struggle nimefanikiwa kupata job serikalini. Nashukuru jf kwan nililipata tangazo lile hapa hapa and lord hear my felt need. Muhimu omba mungu sana na saka fursa sana. Nawatakia kila laheri katika harakati za kusaka ajira, no pain no gain
imeandikwa wapi......??????
wadau mambo vp? Niko hapa kuwa encourage kutokata tamaa katika kusaka ajira sababu after long struggle nimefanikiwa kupata job serikalini. Nashukuru jf kwan nililipata tangazo lile hapa hapa and lord hear my felt need. Muhimu omba mungu sana na saka fursa sana. Nawatakia kila laheri katika harakati za kusaka ajira, no pain no gain