Asante Mungu, asante JF. Nimepata ajira!

Asante Mungu, asante JF. Nimepata ajira!

Kwakuwa umeanza kwa kumshukru Mungu umefanya vyema hivyo basi kuwa mwadilifu katika utumishi wako. Na ahimidiwe Mungu wako.:sad:
 
Hongera kwa JF,wewe sikupi hongera kwa kupata kazi ya kuhudumia jamii bali nenda katekeleze majukumu yako ipasavyo!!
 
siwapendi wafanyakazi wa serikalini
1. Uzembe,
2. Hawana direct accountability
3. Rushwa(kwa kusingizia low salary TGS)
4. Hawakumbuki hiyo kazi sio yao, wanataka heshima na recognition
Kijana angalia haya usiwe nayo
 
Hongera sana.
Ukamshukuru Mungu kwa matoleo, na usisahau kuichangia jf ili iendelee kuwepo kwa ajili yako siku nyingine.
 
wadau mambo vp? Niko hapa kuwa encourage kutokata tamaa katika kusaka ajira sababu after long struggle nimefanikiwa kupata job serikalini. Nashukuru jf kwan nililipata tangazo lile hapa hapa and lord hear my felt need. Muhimu omba mungu sana na saka fursa sana. Nawatakia kila laheri katika harakati za kusaka ajira, no pain no gain

hongera sana...usitusahau lakini
 
hongera sana.. ukimtumaini Mungu yeye hashindwi jambo lolote
 
Fungu la kumi huwa linatolewa kanisani, Ukipeleka fungu la kumi kwa yatima na wajane uanondoa maana ya fungu la kumi
usitoe sadaka kwa kuangalia mtu
imeandikwa wapi......??????
 
Usiwe kafisadi katoto kwa kuwa ulisota na bodi ya mikopo mixer na bahasha baadae kwa kusaga rami ,taani, heshimu kazi....chapa kazi
america bado taifa changa hadi leo- "obama"
'
 
nawashukuru sana sana wadau kwa positive advices zenu na pongezi kedekede. Nakwenda kuzifanyia kaz kama mlivyo nishauri.
 
wadau mambo vp? Niko hapa kuwa encourage kutokata tamaa katika kusaka ajira sababu after long struggle nimefanikiwa kupata job serikalini. Nashukuru jf kwan nililipata tangazo lile hapa hapa and lord hear my felt need. Muhimu omba mungu sana na saka fursa sana. Nawatakia kila laheri katika harakati za kusaka ajira, no pain no gain

Hongera sana,Nakumbuka mwaka 2012 mwezi kama wa 10 ulikuja na katika hii thread.
https://www.jamiiforums.com/nafasi-...i-katika-harakati-zangu-za-kutafuta-kazi.html

Nimehitimu chuo na nimesoma bachelor of science in WILDLIFE MANAGEMENT.
Nimekua nikisaka job kwa nguvu zote bila mafanikio ila kadri siku zinavyokwenda ndio ninakua na nguvu zaidi za kusaka kazi, sasa wadau naombeni ushauri au support yeyote sababu hali ni tete.
Wanaojua NGO's zinazo deal na conservation please let me know... Nipo pande hizi za arusha
 
siwapendi wafanyakazi wa serikalini
1. Uzembe,
2. Hawana direct accountability
3. Rushwa(kwa kusingizia low salary TGS)
4. Hawakumbuki hiyo kazi sio yao, wanataka heshima na recognition
Kijana angalia haya usiwe nayo

daah,,,,kweli mdau unatuchukia,ila sie tunalisongesha tu,tunafata mwongozo wa mawaziri wetu na wabunge
 
Back
Top Bottom