Asante Mh. Mbowe!

Asante Mh. Mbowe!

Ngonidema

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
2,775
Reaction score
2,750
Akihutubia malaki ya Watanzania Mjini Sumbawanga leo amejibu hoja dhaifu za Dk Slaa, Amesema CHADEMA siyo mali ya Dk Slaa, Mbowe au kiongozi yoyote yule, CHADEMA ni mali ya watanzania wenye mapenzi mema na nchi yao.

Haiwezekani mtu na mke wake wajifanye CHADEMA ni mali yao.

Chanzo: ITV habari saa 5 usiku.
 
Akihutubia malaki ya Watanzania Mjini Sumbawanga leo amejibu hoja zaifu za Mla Mihogo(dk slaa), Amesema chadema siyo mali ya Dk slaa, Mbowe au kiongozi yoyote yule, chadema ni mali ya watanzani wenye mapenz mema na nchi yao,.Haiwezekan mtu na mke wake wajifanye chadema ni mali yao..sourc itv habar saa 23 usku

Mbowe mnafiki tena sana namkumbusha Dr,slaa alipoyasema hayo arumuru kwenye uchaguzi wa mp nasari mbona slishangilia na kupiga makofi,dhambi ya unafiki inawamaliza,
 
Mbowe tatizo lake anszani wtz hakuna kumbukumbu 2010 agenda ya Richmond ndo iliwapaisha Leo hii anasema mini?
 
Mbowe tatizo lake anszani wtz hakuna kumbukumbu 2010 agenda ya Richmond ndo iliwapaisha Leo hii anasema mini?
Ajenda ya Richmond iliwapaisha wapi? Mbona hamkuwapa kura za urais pamoja na hiyo ajenda yao ya Richmond?
 
Utajibiwa tusubri hapo hapo usiondoke sawa, tunamalizia kumuaapisha Rais mpya wa awamu 5 Mh.Lowasa, tutakujibu tu ondoa shaka
Labda kwenye kabisa LA gwajima na zile nguvu sake zisizoeleweka,mwaka huu fisadi haingii ikulu,
 
Na kweli mpo mnaoamini ni mali ya Watanzania? well.. labda kweli mpo mnaoamini hivyo.

Mimi naamini hivyo, kwa kuwa Uongoz uliridhia ujio wa Lowasa, na tulionyeshwa live Prof na Dr wakifurahi ujio wa Lowassa. Nongwa ni kugombea Urais tu, nje ya hapo Lowassa angekuwa msafi kwa Dr na Prof!
 
Back
Top Bottom