Asante Majizo na TV E

Asante Majizo na TV E

gwa myetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
4,473
Reaction score
4,671
Kwakweli Tv E dada ya efm inasumbua mtaani kwa sasa baada ya rasmi kuanza kuonekana dstv channel 295 , yaani ni burudani kwenda mbele asubuhi hadi jioni , picha angavu kabisaaa

Heheheheiyaaa clouds tv itabaki kuwa tv ya matamko ya Makonda na matangazo ya naifingua dunia..

Hongera sana Baba Lulu kwakweli mmetuletea burudani mtaani na mnapiga nyimbo za wasanii wote bila ubaguzi
 
Sija iangalia hiyo TV ila kwa Clouds Tv ni moja ya tv mbovu hapa Tz, kwa hiyo hata wasilenge kushindana na Cloudz tv walenge at least kushindana na EATV maana ndiyo Tv ya burudani yenye viwango vya juu hapa bongo
afadhali kama wamekuja watu wenye quality zao.
 
Sija iangalia hiyo TV ila kwa Clouds Tv ni moja ya tv mbovu hapa Tz, kwa hiyo hata wasilenge kushindana na Cloudz tv walenge at least kushindana na EATV maana ndiyo Tv ya burudani yenye viwango vya juu hapa bongo
afadhali kama wamekuja watu wenye quality zao.

Nakubaliana na wewe, clouds sio bora ila wanatantarira nyingi compared to eatv
 
Sija iangalia hiyo TV ila kwa Clouds Tv ni moja ya tv mbovu hapa Tz, kwa hiyo hata wasilenge kushindana na Cloudz tv walenge at least kushindana na EATV maana ndiyo Tv ya burudani yenye viwango vya juu hapa bongo
afadhali kama wamekuja watu wenye quality zao.
Ubovu wao nn?
 
Back
Top Bottom