KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 278
- Thread starter
- #21
Nimeamkiaa safari toka Geita nilikolala saa kumi na moja alfajjiri sasa ni saa moja kamili ndo nawasiri Chato
Duh uhai hauuzwi dukani kaka nikiwa Geita mjini nikawasiliana na mdau wangu yuko Katoro akanikataza nisiendelee na safari akaniambia kuna msitu mrefu mbele ambao gari itatumia kama saa nzima kuumaliza nilikuwa nimekwishaondoka mjini Geita kama km saba hivi nikaamua kugeuza nimelala Geita kesho mapema alfajiri niimalizie safari.
Maajabu kumbe wana jf tunaogopana! KIBURUDISHO kafikahapa chato pamoja na kumkaribisha ameshindwa hata kunitafuta! Aya namtakia maisha mema hapa chato
Ngoja atulie kwanza ashushe na mizigo.