Asante Bashiru, tumewajua machawa Halisi

Asante Bashiru, tumewajua machawa Halisi

Pengine ni kwamba Makada hao wamepitwa na wakati sasa!

Nyakati za kutetea chama badala ya wananchi zimekwisha pitwa!

Leo hii ni wananchi kwanza kisha ndio Chama!

Hakuna chama bila wanachama!

Hao "makuda" wanatetea matumbo yao na sio kingine!
Hili haliwezekani kwanza tujiulize nini maana ya chama. Kuwa kwenye chama ina maana unakubaliana na sera za chama na lengo la chama ni kutawala ili utawale lazima muwe pamoja hasa mkimaliza mambo yenu ya ndani ya chama mkiyamaliza mkitoka mnamkabili mpinzani kwa sauti moja. Hili unalotaka kusema hapa hata huko majuu hutoboi ukiwa uko nje ya chama. Kila chama kina taratibu zake za kufanya maamuzi na wanakosoana tu ila mkimaliza mnatoka wamoja sasa huwezi kutoka nje ukaanza kuwakosoa wenzano wakati unajuwa lengo ni kushika dola. Sio huyu Bashiru alisema huwezi kuwa na dola halafu usitumie dola kubaki madarakani au sio yeye? Chama ni kundi la watu wenye mawazo na malengo yaliofanana na wajibu kusimamia maamuzi ya chama. ndio maana hata uwe mkubwa vipi hata Mama Samia sio raisi lakini sio lolote akitoka nje ya CCM
 
Ukiwa kada mtiifu lazima upiganie chama chako na viongozi wako.
Mbona sasa unarukaruka, nimekujibu vile baada ya wewe kusema ni kada mtiifu ndio maana nikauta wewe ni tools ya watu kufikia malengo yao. Hakuna cha ukada wala ukamanda zote ni tools tu za wanasisa kufikia malengo yao.
 
Chama ni kundi la watu wenye mawazo na malengo yaliofanana na wajibu kusimamia maamuzi ya chama
Hii tafsiri ya kiujanja ujanja tu. Chama ni kikundi kidogo cha watu waliojipanga kuwatumia wananchi wajinga kufanikisha mambo yao.
 
Mbona sasa unarukaruka, nimekujibu vile baada ya wewe kusema ni kada mtiifu ndio maana nikauta wewe ni tools ya watu kufikia malengo yao. Hakuna cha ukada wala ukamanda zote ni tools tu za wanasisa kufikia malengo yao.
Ndio maana ya siasa nashaka hujasoma mambo ya siasa ukijuwa maana yake huwezi kuandika ulichoandika, ni sehemu ya siasa kawaida kabisa
 
Bashiru ni kiboko ya mafisadi ndani ya CCM ambayo yalikuwa yamekifanya chama kama Saccos yao.

Tume yake iliibua madudu makubwa kwenye chama kama wakina Nape walikuwa wanagawana mali za chama kama njugu yeye alijigawiya V8 sitegemei watu kama hao wampende Bashiru.

Naamini Bashiru nyota yake bado inang'aa vilivyo kwa sasa hakuna wakuiharibu ndani ya CCM atakayefanya hivyo ataharibikiwa yeye.

Go Go Go Dr. Bashiru ili tuyajue mafisadi yaliyoko ndani ya CCM uliyoisafisha na kuweka mfumo mzuri wa ukusanyaji mapato ndani ya chama na mfumo mzuri wa utumiaji wa mapato hayo. Mafisadi ndani ya CCM yanataka kuharibu mifumo mizuri uliyoijenga ndani ya CCM.
Ila kusifu na kuabudu si ndio alianzisha yeye?
 
Hii tafsiri ya kiujanja ujanja tu. Chama ni kikundi kidogo cha watu waliojipanga kuwatumia wananchi wajinga kufanikisha mambo yao.
Labda kuna wajinga kwentu na huko majuu utatoboa kama wewe sio Republican au Democratic au Conservation au labour hata mikopo tu hujajiunga Saccos hutoboi na kusema wanawatumia wananchi kina nani? hakuna mtu kazaliwa kiongozi wanapigana kwenye mfumo huohuo kutoka zero nakuja kuwa kiongozi. Ni system lazima upigane ili ufike juu kama huwezi una support tu ndio maisha. Hata mpira ziko team tunashangilia tu lakini sio lazima uwe kiongozi na vyama ni hivyo huwezi kupigana shangilia tu.
 
imeandikwa "Koleza kuni mbichi ndani ya shimo ..... wahuni lazima waibuke"
 
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!

CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui yao!

Hapo hakuna "Taasisi",bali kuna "Wahuni" na
"Wanaupiga Uhuni Mwingi"

Unapokuwa na Wasomi wa Makaratasi kama Kigwangalla!

Aliyetumia uwaziri kustarehe na wasanii kwa gharama za wizara!

Aliyetumia muda mwingi wizarani kugombana na katibu mkuu wake,kisa anakiuka maadili ya uwaziri!

Hatimae Rais akafanya vyake,katibu mkuu akawa waziri kwa sasa.
Huku Kigwangalla ni "Chawa" kwa sasa!

Ukawa na vijana wa Vioja kama Kihongosi.

Ambaye amekomaza shingo kuachia ngazi,pamoja na kuhusishwa kwenye kashfa za kuiba fedha za jiji la Arusha kupitia mkewe!

Halafu leo na yeye anapata ujasiri wa kumkosoa aliyesababisha hiyo CCM ikabaki ilipo!

Tunajua ma-CCM mengi yanao uchungu na #Bashiru,sio kwa sababu ya kumtetea mama yao!

Bali kwa hasira za kukatishwa ulaji na Tume ya kukagua na kuratibu mali za CCM.
Iliyoongozwa na Bashiru

Ni kupitia hiyo tume ndio kina #Bulembo walitemeshwa ulaji kutoka mauzo haramu ya shule za "TAPA"
Jumuia ya wazazi wa CCM!

Ni hiyohiyo tume ya #Bashiru,iliyowatemesha kina #Nape magari ya CCM waliyojimilikisha bila haya mchana kweupe.
Ila kwa tume ya #Bashiru,na misimamo ya #JPM.
Vyote vilirudi.

Wanaompinga Bashiru leo,ndio hao walikiuza kiwanda cha uchapaji cha CCM.

Ndio hao waliokuwa wamemuuzia Yusuf Manji kituo cha television cha CCM cha "Chanel Ten"

Yoote yaliharibika,baada ya #Bashiru kufanya kazi yake kwa uadilifu mkubwa!

Tunajua kabisa,sababu zilizowafanya walamba Asali waanze na kumuweka #Bashiru pembeni mapema!

Ni kwa sababu uwepo wake kama katibu mkuu,yanayotokea sasa,yasingewezekana kamwe!

Ni mengi na Ni wengi waliotemeshwa ulaji!

Ila pia tunajua walamba asali walivyoratibu zoezi la kuwafagia wazee wakweli ndani ya CCM.

Wengine wakiponea tundu la sindano,kina Mang'ula!

Ambao hawakubahatika ndio ikawa historia.
Mmoja wa waliosalimika akazawadiwa U- Vaisi- presoo!

Tunaomba mumpinge #Bashiru kwa "HOJA" badala ya "VIOJA"

Bashiru anayajua mengi ndani ya hicho chama,tena anayajua "MABAYA" yenu kuliko "MAZURI"

Kaeni mkijua kwamba Baba wa Taifa aliacha waosia huu....

"UPINZANI WA KWELI WA CCM,UTATOKA NDANI YA CCM YENYEWE"

Yangu ni hayo kwa sasa!

Enyi Wavimba Macho wa Kuumwa na "Nyuki" wa "Asali"

Mmepigwa kauli moja tu....mnatapatapa kila kona!

Mvua yenyewe bado inakuja! Hayo ya #Bashiru ni dalili zake tu!

View attachment 2423276View attachment 2423302View attachment 2423304

Nimetumia haki yangu kusema "UKWELI" huu!

Alamsikhi
10101.
Umewaita watu machawa wakati ulichofanya ni uchawa ule ule tu. Bashiru anasumbuliwa na 'uhaya' kudhani anachojua yeye ndio sheria na ndio mipaka ya mtu mwingine ya kuelewa jambo,.

Hata bosi wake wa zamani hayati JPM alikuwa anasumbuliwa na matatizo haya haya tu, anaelezwa kitu na mtaalam fulani na ghafla anamkatiza katikati kabla hata hajafikia mwisho wa maelezo yake, ni ugonjwa wa ujuaji ule ule tu!.
 
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!

CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui yao!

Hapo hakuna "Taasisi",bali kuna "Wahuni" na
"Wanaupiga Uhuni Mwingi"

Unapokuwa na Wasomi wa Makaratasi kama Kigwangalla!

Aliyetumia uwaziri kustarehe na wasanii kwa gharama za wizara!

Aliyetumia muda mwingi wizarani kugombana na katibu mkuu wake,kisa anakiuka maadili ya uwaziri!

Hatimae Rais akafanya vyake,katibu mkuu akawa waziri kwa sasa.
Huku Kigwangalla ni "Chawa" kwa sasa!

Ukawa na vijana wa Vioja kama Kihongosi.

Ambaye amekomaza shingo kuachia ngazi,pamoja na kuhusishwa kwenye kashfa za kuiba fedha za jiji la Arusha kupitia mkewe!

Halafu leo na yeye anapata ujasiri wa kumkosoa aliyesababisha hiyo CCM ikabaki ilipo!

Tunajua ma-CCM mengi yanao uchungu na #Bashiru,sio kwa sababu ya kumtetea mama yao!

Bali kwa hasira za kukatishwa ulaji na Tume ya kukagua na kuratibu mali za CCM.
Iliyoongozwa na Bashiru

Ni kupitia hiyo tume ndio kina #Bulembo walitemeshwa ulaji kutoka mauzo haramu ya shule za "TAPA"
Jumuia ya wazazi wa CCM!

Ni hiyohiyo tume ya #Bashiru,iliyowatemesha kina #Nape magari ya CCM waliyojimilikisha bila haya mchana kweupe.
Ila kwa tume ya #Bashiru,na misimamo ya #JPM.
Vyote vilirudi.

Wanaompinga Bashiru leo,ndio hao walikiuza kiwanda cha uchapaji cha CCM.

Ndio hao waliokuwa wamemuuzia Yusuf Manji kituo cha television cha CCM cha "Chanel Ten"

Yoote yaliharibika,baada ya #Bashiru kufanya kazi yake kwa uadilifu mkubwa!

Tunajua kabisa,sababu zilizowafanya walamba Asali waanze na kumuweka #Bashiru pembeni mapema!

Ni kwa sababu uwepo wake kama katibu mkuu,yanayotokea sasa,yasingewezekana kamwe!

Ni mengi na Ni wengi waliotemeshwa ulaji!

Ila pia tunajua walamba asali walivyoratibu zoezi la kuwafagia wazee wakweli ndani ya CCM.

Wengine wakiponea tundu la sindano,kina Mang'ula!

Ambao hawakubahatika ndio ikawa historia.
Mmoja wa waliosalimika akazawadiwa U- Vaisi- presoo!

Tunaomba mumpinge #Bashiru kwa "HOJA" badala ya "VIOJA"

Bashiru anayajua mengi ndani ya hicho chama,tena anayajua "MABAYA" yenu kuliko "MAZURI"

Kaeni mkijua kwamba Baba wa Taifa aliacha waosia huu....

"UPINZANI WA KWELI WA CCM,UTATOKA NDANI YA CCM YENYEWE"

Yangu ni hayo kwa sasa!

Enyi Wavimba Macho wa Kuumwa na "Nyuki" wa "Asali"

Mmepigwa kauli moja tu....mnatapatapa kila kona!

Mvua yenyewe bado inakuja! Hayo ya #Bashiru ni dalili zake tu!

View attachment 2423276View attachment 2423302View attachment 2423304

Nimetumia haki yangu kusema "UKWELI" huu!

Alamsikhi
10101.
muulize mwalimu wangu Bashiru wale waliounga mkono juhudi kama mwita waitara na wengine wengiii kisha nchi ikagharamia chaguzi kwa kuwarudisha kwenye majimbo yale yale kisiasa INAITWAJE?
Mlikemea uchawa ule tena uliokuwa na gharama kwa walipa kodi kwa kiasi gani?
Bwana Bashiru alishawahi kuwambia wananchi wahoji na lile?
acheni unafiki wenu nyinyi
KAMFUFUE UZIKWE WEWE
 
muulize mwalimu wangu Bashiru wale waliounga mkono juhudi kama mwita waitara na wengine wengiii kisha nchi ikagharamia chaguzi kwa kuwarudisha kwenye majimbo yale yale kisiasa INAITWAJE?
Mlikemea uchawa ule tena uliokuwa na gharama kwa walipa kodi kwa kiasi gani?
Bwana Bashiru alishawahi kuwambia wananchi wahoji na lile?
acheni unafiki wenu nyinyi
KAMFUFUE UZIKWE WEWE
Kuna mtu alitembea pale ikulu kutoka getini mpaka karibu na mlango wa kuingia ndani akiwa na kitambaa mkononi akifuta jasho. Sidhani kama msomi Bashiru anakumbuka kero ile pamoja na ile ya kurekodi maongezi ya viongozi wenzake wa CCM na kuiweka nchi katika hali ya uoga.

Malipo ni hapa hapa chini ya jua.
 
Kuna mtu alitembea pale ikulu kutoka getini mpaka karibu na mlango wa kuingia ndani akiwa na kitambaa mkononi akifuta jasho. Sidhani kama msomi Bashiru anakumbuka kero ile pamoja na ile ya kurekodi maongezi ya viongozi wenzake wa CCM na kuiweka nchi katika hali ya uoga.

Malipo ni hapa hapa chini ya jua.
huyu ni msomi mnafiki aliyetupwa nje ya mfumo tu. hana kipya
 
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!

CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui yao!

Hapo hakuna "Taasisi",bali kuna "Wahuni" na
"Wanaupiga Uhuni Mwingi"

Unapokuwa na Wasomi wa Makaratasi kama Kigwangalla!

Aliyetumia uwaziri kustarehe na wasanii kwa gharama za wizara!

Aliyetumia muda mwingi wizarani kugombana na katibu mkuu wake,kisa anakiuka maadili ya uwaziri!

Hatimae Rais akafanya vyake,katibu mkuu akawa waziri kwa sasa.
Huku Kigwangalla ni "Chawa" kwa sasa!

Ukawa na vijana wa Vioja kama Kihongosi.

Ambaye amekomaza shingo kuachia ngazi,pamoja na kuhusishwa kwenye kashfa za kuiba fedha za jiji la Arusha kupitia mkewe!

Halafu leo na yeye anapata ujasiri wa kumkosoa aliyesababisha hiyo CCM ikabaki ilipo!

Tunajua ma-CCM mengi yanao uchungu na #Bashiru,sio kwa sababu ya kumtetea mama yao!

Bali kwa hasira za kukatishwa ulaji na Tume ya kukagua na kuratibu mali za CCM.
Iliyoongozwa na Bashiru

Ni kupitia hiyo tume ndio kina #Bulembo walitemeshwa ulaji kutoka mauzo haramu ya shule za "TAPA"
Jumuia ya wazazi wa CCM!

Ni hiyohiyo tume ya #Bashiru,iliyowatemesha kina #Nape magari ya CCM waliyojimilikisha bila haya mchana kweupe.
Ila kwa tume ya #Bashiru,na misimamo ya #JPM.
Vyote vilirudi.

Wanaompinga Bashiru leo,ndio hao walikiuza kiwanda cha uchapaji cha CCM.

Ndio hao waliokuwa wamemuuzia Yusuf Manji kituo cha television cha CCM cha "Chanel Ten"

Yoote yaliharibika,baada ya #Bashiru kufanya kazi yake kwa uadilifu mkubwa!

Tunajua kabisa,sababu zilizowafanya walamba Asali waanze na kumuweka #Bashiru pembeni mapema!

Ni kwa sababu uwepo wake kama katibu mkuu,yanayotokea sasa,yasingewezekana kamwe!

Ni mengi na Ni wengi waliotemeshwa ulaji!

Ila pia tunajua walamba asali walivyoratibu zoezi la kuwafagia wazee wakweli ndani ya CCM.

Wengine wakiponea tundu la sindano,kina Mang'ula!

Ambao hawakubahatika ndio ikawa historia.
Mmoja wa waliosalimika akazawadiwa U- Vaisi- presoo!

Tunaomba mumpinge #Bashiru kwa "HOJA" badala ya "VIOJA"

Bashiru anayajua mengi ndani ya hicho chama,tena anayajua "MABAYA" yenu kuliko "MAZURI"

Kaeni mkijua kwamba Baba wa Taifa aliacha waosia huu....

"UPINZANI WA KWELI WA CCM,UTATOKA NDANI YA CCM YENYEWE"

Yangu ni hayo kwa sasa!

Enyi Wavimba Macho wa Kuumwa na "Nyuki" wa "Asali"

Mmepigwa kauli moja tu....mnatapatapa kila kona!

Mvua yenyewe bado inakuja! Hayo ya #Bashiru ni dalili zake tu!

View attachment 2423276View attachment 2423302View attachment 2423304

Nimetumia haki yangu kusema "UKWELI" huu!

Alamsikhi
10101.
Hivyo vibonzo vimenifanya nicheke huku moyoni nahuzunika!
 
Wajinga watasema kwasababu yeye ni ccm,ama kwasababu alikuwa anamsifia Magu basi hana uhalali wa kusema ukweli.

Hata Magu alipokuwa anapambana na ufisadi na uzembe kazini walisema kwakuwa nayeye ni ccm kwamba angekuwa mzalendo angejiuzulu zamani ilikuonyesha hapendezwi na ufisadi.
 
Leo hii Bashiru anaonekana mwamba haha
Yaani ndomaana nasema waafrica tunalaana ya asili. Eti watu wameshupaza shingo kuwa bashiru ni mwamba . Kwa lipi haswa. Huyu alooshindwa kutetea maslahi ya wafanyakazi kwa miaka 5 ya magufuli eti Leo hii anahuruma na wakulima? Afu watu walivyo wajinga washamuona ni mtu wa maana. Mimi npo na Mama Samia kwa sababu naona yanayofanyika ni makubwa Kama ni changamoto zitata tuliwa kadili uwezi utakapokuwa unapatikana. Wakulima matatizo yao miaka dahali.
 
Nadhani hujasiliza alichoongea huyu jamaa kaongea uchochezi kaongea kauli mbaya kama msikae kimya nyinyi mnaweza pasikalike hapa? unajuwa hii kauli maana yake nini? zaidi ya uhaini hakujawahi mtu kutoa kauli mbaya kama hii hata wapinzani wanajuwa cha kuongea. Suala la korosho hakuna mtu anapanga bei hili ni soko la dunia hakuna mtu aliyeleta madhara kwa hawa wakulima kama JPM na wakati yeye alikuwa katibu wa chama? alifanya nini? ningemuelewa kwanza angeomba msamaha kwa waliyoyafanya hapo sawa
Asante mkuu napenda watu wenye uelewa wa Mambo. Bashiru Hana sababu ya kulaumu utawala wa mama samia
 
muulize mwalimu wangu Bashiru wale waliounga mkono juhudi kama mwita waitara na wengine wengiii kisha nchi ikagharamia chaguzi kwa kuwarudisha kwenye majimbo yale yale kisiasa INAITWAJE?
Mlikemea uchawa ule tena uliokuwa na gharama kwa walipa kodi kwa kiasi gani?
Bwana Bashiru alishawahi kuwambia wananchi wahoji na lile?
acheni unafiki wenu nyinyi
KAMFUFUE UZIKWE WEWE
Asanteeee mkuu . Baelezeee wajinga wakubwa hawa.
 
Na sisi wananchi ndio tunawaendekeza, kwasababu wakija na propaganda zao hazina kichwa wala miguu tuna washangilia, na ndio wanachukulia kama advantage kutu dalali.
Ndugu, Wanaibua kura. Wananchi Si wajinga.

Wamekata tamaa, kama UVCCM viongozi wanaonunua uongozi Kwa pesa, lifuatalo ni kutafuta mbinu za kuiba kura baas.

Tuungane kuhakikisha, Haufanyiki uchaguzi wowote bila kupata kwanza TUME HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Ameeeen.
 
Ni sahihi unachokisema, lakini kuna haka kamtindo wanakuja sehemu, mfano wanawakusanja wakulima au boda boda wanawapanga wasifie ujinga.
Nyerere alisema TUWAZOMEE viongozi wa namna hiyo, utendaji duni hafu watafute kusifiwa!! naona Utaratibu huo umeanza kuasahaulika.
 
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!

CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui yao!

Hapo hakuna "Taasisi",bali kuna "Wahuni" na
"Wanaupiga Uhuni Mwingi"

Unapokuwa na Wasomi wa Makaratasi kama Kigwangalla!

Aliyetumia uwaziri kustarehe na wasanii kwa gharama za wizara!

Aliyetumia muda mwingi wizarani kugombana na katibu mkuu wake,kisa anakiuka maadili ya uwaziri!

Hatimae Rais akafanya vyake,katibu mkuu akawa waziri kwa sasa.
Huku Kigwangalla ni "Chawa" kwa sasa!

Ukawa na vijana wa Vioja kama Kihongosi.

Ambaye amekomaza shingo kuachia ngazi,pamoja na kuhusishwa kwenye kashfa za kuiba fedha za jiji la Arusha kupitia mkewe!

Halafu leo na yeye anapata ujasiri wa kumkosoa aliyesababisha hiyo CCM ikabaki ilipo!

Tunajua ma-CCM mengi yanao uchungu na #Bashiru,sio kwa sababu ya kumtetea mama yao!

Bali kwa hasira za kukatishwa ulaji na Tume ya kukagua na kuratibu mali za CCM.
Iliyoongozwa na Bashiru

Ni kupitia hiyo tume ndio kina #Bulembo walitemeshwa ulaji kutoka mauzo haramu ya shule za "TAPA"
Jumuia ya wazazi wa CCM!

Ni hiyohiyo tume ya #Bashiru,iliyowatemesha kina #Nape magari ya CCM waliyojimilikisha bila haya mchana kweupe.
Ila kwa tume ya #Bashiru,na misimamo ya #JPM.
Vyote vilirudi.

Wanaompinga Bashiru leo,ndio hao walikiuza kiwanda cha uchapaji cha CCM.

Ndio hao waliokuwa wamemuuzia Yusuf Manji kituo cha television cha CCM cha "Chanel Ten"

Yoote yaliharibika,baada ya #Bashiru kufanya kazi yake kwa uadilifu mkubwa!

Tunajua kabisa,sababu zilizowafanya walamba Asali waanze na kumuweka #Bashiru pembeni mapema!

Ni kwa sababu uwepo wake kama katibu mkuu,yanayotokea sasa,yasingewezekana kamwe!

Ni mengi na Ni wengi waliotemeshwa ulaji!

Ila pia tunajua walamba asali walivyoratibu zoezi la kuwafagia wazee wakweli ndani ya CCM.

Wengine wakiponea tundu la sindano,kina Mang'ula!

Ambao hawakubahatika ndio ikawa historia.
Mmoja wa waliosalimika akazawadiwa U- Vaisi- presoo!

Tunaomba mumpinge #Bashiru kwa "HOJA" badala ya "VIOJA"

Bashiru anayajua mengi ndani ya hicho chama,tena anayajua "MABAYA" yenu kuliko "MAZURI"

Kaeni mkijua kwamba Baba wa Taifa aliacha waosia huu....

"UPINZANI WA KWELI WA CCM,UTATOKA NDANI YA CCM YENYEWE"

Yangu ni hayo kwa sasa!

Enyi Wavimba Macho wa Kuumwa na "Nyuki" wa "Asali"

Mmepigwa kauli moja tu....mnatapatapa kila kona!

Mvua yenyewe bado inakuja! Hayo ya #Bashiru ni dalili zake tu!

View attachment 2423276View attachment 2423302View attachment 2423304

Nimetumia haki yangu kusema "UKWELI" huu!

Alamsikhi
10101.
BTW uchawa uliasisiwa rasmi awamu ya tano tena ile ilikua mbaya kuliko ya sasa maana ole wako upinge mamb yao, ukosoe mambo yao na kibaya zaid umkosoe mkuu 😂😂 hakuna rangi utaacha ona mkuu na unapelekwa kuzimu mazima!!
 
Back
Top Bottom