Asante Bashiru, tumewajua machawa Halisi

Asante Bashiru, tumewajua machawa Halisi

Bashiru hajamsema Mwenyekiti ila nyinyi chawa ndio mnataka watz waamini hivyo. Bashiru alikuwa anawaambia wakulima wapaze sauti zao kama kuna matatizo yao ili yatatuliwe, nani asiyejua kuwa wakulima wa korosho wamekataa kuuza korosho zao kwa sababu ya bei kuwa chini kwa hila!!? Ulitaka awaambie nini wakulima kama hao!!?
Nadhani hujasiliza alichoongea huyu jamaa kaongea uchochezi kaongea kauli mbaya kama msikae kimya nyinyi mnaweza pasikalike hapa? unajuwa hii kauli maana yake nini? zaidi ya uhaini hakujawahi mtu kutoa kauli mbaya kama hii hata wapinzani wanajuwa cha kuongea. Suala la korosho hakuna mtu anapanga bei hili ni soko la dunia hakuna mtu aliyeleta madhara kwa hawa wakulima kama JPM na wakati yeye alikuwa katibu wa chama? alifanya nini? ningemuelewa kwanza angeomba msamaha kwa waliyoyafanya hapo sawa
 
CCM siyo sawa na vyama vya upinzani hivyo hatuwezi kukubali CCM ianze kuwa chama cha machawa.
Unajuwa kada ni nani? wale ni makada wewe umeunganisha chawa na kina baba levo hawa ni makada wa CCM ndio kazi yao kutetea chama na viongozi wake neno chawa wewe ndio umeleta hizi ni kazi za makada miaka na miaka ni wajibu wao kupigania chama.
 
Bashiru anakosa moral authority ya kukosoa maana yeye ndio muasisi wa kishindo cha awamu ya gwalla yaani ilikuwa ni kero hata kuangalia runinga ya taifa sababu ilizidi sasa ni kama tulikuwa ni fascist state aisee, atulie sasa zama zake zilipita ama asubirie enzi zake zirejee.

Hata u KMK aliupata kimchongo na yeye anafahamu hilo.
Hakosi chochote. Wewe ndio unatamani iwe hivyo lakini itabaki kua hisia zako tu. Sisi kama raia tumemskia na tumemuelewa. Na siku nyingine akisema tena tutamskiliza pia.
 
Nadhani hujasiliza alichoongea huyu jamaa kaongea uchochezi kaongea kauli mbaya kama msikae kimya nyinyi mnaweza pasikalike hapa? unajuwa hii kauli maana yake nini? zaidi ya uhaini hakujawahi mtu kutoa kauli mbaya kama hii hata wapinzani wanajuwa cha kuongea. Suala la korosho hakuna mtu anapanga bei hili ni soko la dunia hakuna mtu aliyeleta madhara kwa hawa wakulima kama JPM na wakati yeye alikuwa katibu wa chama? alifanya nini? ningemuelewa kwanza angeomba msamaha kwa waliyoyafanya hapo sawa
Yaani wewe unasema JPM hakuwasaidi wakulima wa korosho? Unajua kweli kilichokuwa kinatokea huko kusini wakati huo? JPM aliwafanya wakulima wajitambue ndio maana leo wanaweza hata kukataa kuuza korosho kwa bei ya kinyonyaji. Wewe utakuwa ni chawa wa mafisadi ndani ya CCM.
 
Sasa katika ndoto zake unaamini kabisa Chadema watawale nchi hii?
kwako na chawa wenzako wasio na akili ni bora walioshindwa kuleta maji na umeme kwa miaka 60 na kukopa dollar billion moja kwa ajiri ya matundu ya choo, kumbuka wakati wabunge wa upinzani walivyokuwa wanajenga hoja kabla hamjawaibia
 
Yaani wewe unasema JPM hakuwasaidi wakulima wa korosho? Unajua kweli kilichokuwa kinatokea huko kusini wakati huo? JPM aliwafanya wakulima wajitambue ndio maana leo wanaweza hata kukataa kuuza korosho kwa bei ya kinyonyaji. Wewe utakuwa ni chawa wa mafisadi ndani ya CCM.
Kama wewe ulivyokuwa chawa wa marehemu. move on mmebaki kufanya matambiko tu. Korosho soko la dunia halipangwi na mtu kama mahindi mbona mnajitoa ufahamu. wasukuma shida sana kwa kweli
 
kwako na chawa wenzako wasio na akili ni bora walioshindwa kuleta maji na umeme kwa miaka 60 na kukopa dollar billion moja kwa ajiri ya matundu ya choo, kumbuka wakati wabunge wa upinzani walivyokuwa wanajenga hoja kabla hamjawaibia
Kujenga ofisi tu mmeshindwa ndio mtajenga nchi? kakojoeni mlale
 
Unajuwa kada ni nani? wale ni makada wewe umeunganisha chawa na kina baba levo hawa ni makada wa CCM ndio kazi yao kutetea chama na viongozi wake neno chawa wewe ndio umeleta hizi ni kazi za makada miaka na miaka ni wajibu wao kupigania chama.
Kupigania chama ni sawa lakini siyo kupigania wavujaji/wezi wa mali za chama hao ndiyo tunawaita chawa tena kunguni kabisa.
 
Kama wewe ulivyokuwa chawa wa marehemu. move on mmebaki kufanya matambiko tu. Korosho soko la dunia halipangwi na mtu kama mahindi mbona mnajitoa ufahamu. wasukuma shida sana kwa kweli
Soko la korosho huko Marekani ni zuri sana ila wafanyabiashara uchwara na machawa wao kama wewe wanataka wawanyonye wakulima wa korosho lakini kwa kuwa walishajitambua kwa msaada wa JPM wamekataa kuuza na wafanyabiashara wa Kimarekani wanakuja kununua korosho hizo.
 
Hakosi chochote. Wewe ndio unatamani iwe hivyo lakini itabaki kua hisia zako tu. Sisi kama raia tumemskia na tumemuelewa. Na siku nyingine akisema tena tutamskiliza pia.
Nani kakukataza sasa?
 
Kupigania chama ni sawa lakini siyo kupigania wavujaji/wezi wa mali za chama hao ndiyo tunawaita chawa tena kunguni kabisa.
Sema sijapata nafasi ya kuiba usiseme mimi sio mwizi. Bongo hii hakuna msafi tusilete porojo. Kada yoyote ni kazi yake kupigania chama na viongozi wake sababu wamechaguliwa na wanachama wenyewe.
Soko la korosho huko Marekani ni zuri sana ila wafanyabiashara uchwara na machawa wao kama wewe wanataka wawanyonye wakulima wa korosho lakini kwa kuwa walishajitambua kwa msaada wa JPM wamekataa kuuza na wafanyabiashara wa Kimarekani wanakuja kununua korosho hizo.
Leo umekuwa mtetezi wa wakulima nchi hii hatuishi kuona maajabu, mahindi yakiuzwa bei juu serikali iingilie acha soko liamue hakuna mtu kalazimisha mtu kuuza korosho huyo JPM mwenyewe yalimshinda alipeleka jesho wachukue korosho akawafanya nini? kuwadhulumu watu msiteseke kutesa kwa zamu mnaweza kwenda kaburini mkafanya matambiko haki yenu. kutesa kwa zamu...
 
Ukiwa kada mtiifu lazima upiganie chama chako na viongozi wako.
Kwenye siasa kuna watu wawili tu, enemies and tools. Enemy ni wale wanaongembea nafasi na tools ni wale wasio na nafasi yoyote. Nyinyi ni dhana tu mnatumiwa na hao mnaowaita viongozi wenu ili waendelee kushibisha matumbo yao kwa kutumia upambe wenu, ambao wewe unaita kada mtiifu. Amka kijana usiwe tools ya watu kufanikisha mambo yao.
 
Unajuwa kada ni nani? wale ni makada wewe umeunganisha chawa na kina baba levo hawa ni makada wa CCM ndio kazi yao kutetea chama na viongozi wake neno chawa wewe ndio umeleta hizi ni kazi za makada miaka na miaka ni wajibu wao kupigania chama.
Pengine ni kwamba Makada hao wamepitwa na wakati sasa!

Nyakati za kutetea chama badala ya wananchi zimekwisha pitwa!

Leo hii ni wananchi kwanza kisha ndio Chama!

Hakuna chama bila wanachama!

Hao "makuda" wanatetea matumbo yao na sio kingine!
 
Kwenye siasa kuna watu wawili tu, enemies and tools. Enemy ni wale wanaongembea nafasi na tools ni wale wasio na nafasi yoyote. Nyinyi ni dhana tu mnatumiwa na hao mnaowaita viongozi wenu ili waendelee kushibisha matumbo yao kwa kutumia upambe wenu, ambao wewe unaita kada mtiifu. Amka kijana usiwe tools ya watu kufanikisha mambo yao.
Kwa msaada wako unaweza kama utataka mimi ni mmoja nimekosoa sana CCM huko nyuma na uzuri mimi sio mwanachama wa chama chochote na nilikuwa nawasema vibaya sera za serikali na post zangu zipo na sijawahi kupiga kura maisha yangu yote sababu sina imani na process. Lakini kuna wakati unaona serikali imefanya jambo zuri ukisifia tu utatukanwa kama kuhukumiwa wewe ndio wale CCM. Sasa wewe unahubiri nini lakini hutaki ufanyiwe na sio kila jambo kupinga tu nikaona sasa kilicho mtandandaoni kina trende na wao wamo. Mbowe aliposema kwenye mkutano wake hakuna kufanya fujo wa matusi jamaa wote wakatii utasema wamemwagiwa maji.
 
Back
Top Bottom