pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Kwa mwelekeo huu kuna siku ccm inaweza kuwa sawa na Al shabab kwani ina viashiria vingi sana vya "aina ile"CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!