Arushaone.... You Are Getting Old... Damn You!!

Arushaone.... You Are Getting Old... Damn You!!

Hapana.. Madame B ni 'Daaaaadaa' (isome hivo ilivoandikwa) sio 'Dada'
Hahahaha basi Daaadaa wako si nchezo. Kwahiyo hapa ndugu yako Nicas Mtei alikuwa anafanya nini na daaadaa yako Madame B?

extremedancee.jpg
 
Last edited by a moderator:
Asprin leo umeniliza na kunichekesha khaaa!
siingii tena kwenye huu uzi.
Jamani jamani jamani gfsonwin ndo nini? Lakini nshakuelewa. Na hiyo hali yako kucheka sana si vizuri...

Fuata huu ushauri wa kitaalamu

hD5C710A1
 
Last edited by a moderator:
samahani best hata hukunialika kwenye sikukuu hii kulikoni ulikwenda kuwatembelea wazazi?
best si bora hata ningeenda kwa wazazi? nilikuwepo hapa hapa na la maana nililolifanya halikuwepo.
Ila pasaka inaendelea bado, wakaribishwa sana siku yoyote best. niambie tu wapendelea nini nikuandalie
 
Back
Top Bottom