Afu weweeeeee.... Nikikukamataaaaa!!Umeonae? Yaani ana Kipaji Halisi ..... Sema kaniudhi tu alivomwita Arushaone mdogo wake wakati Arushaone na Kingunge wamepishana mwaka mmoja tu!
Umeanza uchonganishi sasa..... si ndio?
Banandugu wote wa JF heshima kwenu! Hakika umegota mwaka tangu nijimuvuzishe jamvini humu na sitaki kutoka! Sijui nimelogewa humu? Au ndo limbwata la ki-JF?
Nishakuwa teja hakika la JF!
Nawapenda wote na hakika mwajua kuwa nawapenda kweli.
Banandugu wote wa JF heshima kwenu! Hakika umegota mwaka tangu nijimuvuzishe jamvini humu na sitaki kutoka! Sijui nimelogewa humu? Au ndo limbwata la ki-JF?
Nishakuwa teja hakika la JF!
Nawapenda wote na hakika mwajua kuwa nawapenda kweli.
Kaka name nahisi nita kuwa teja muda si mrefu.... hakika napata raha sana mno ...
Namimi hujapenda kuwepo kwangu hapa?nakupenda sana kaka yangu wa ukweeeeee! msuper kijana...kwa kujiunga kwako hapa nimekuwa na bahati ya kukujua live pia..i real appreciate kuja kwako katika jamii ya marafiki zangu
pamoja daima jf
teh sipo tena bongoNamimi hujapenda kuwepo kwangu hapa?
Afu unakumbuka miadi yetu? Usisahau ahadi ni deni...:A S shade:
Nimetoka kutubu dhambi juzi tu hapa, hata kabla Mungu hajasahau nianze tena zambi? Subiri Yesu apae kwanza bana.
Hivi we mtoto, ndo unanifanyia nini mtoto wa mwanamke mwenzio?