Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
nilifurugwa nikasahau
ile zawadi yangu ujue!
Nitafute fasta nikupe ZAWADI YAKO!
nilifurugwa nikasahau
ile zawadi yangu ujue!
Nitafute fasta nikupe ZAWADI YAKO!
Kizazi cha dot com bwana wewe umekuta tv's??kwa sisi ambao tulikuwa tukiishi kwa kusikiliza radio tunajua Jangala jinsi alivyokuwa akimuita mdogo wake hivyo fuatilia zaidi nilitaka uendelee kumshindilia huyo Babu ODM mpaka apasuke!mbona kama nimetoka kapa.....umeongea lugha ngumu KakaKiiza
Shem bana..... Yani kweli zawani nono kama ile niifikishe? Ngoja akiongeza mwaka wa pili ntaangalia cha kufanya.
Shem bana..... Yani kweli zawani nono kama ile niifikishe? Ngoja akiongeza mwaka wa pili ntaangalia cha kufanya.
BTW hivi unajua nimekumisije?
Oh Mama mia!! Shem bana, ya nini kumisiana namna hii wakati tunaweza kulifukuza hili liibilisi la kumisiana.... Am on my way! Usitoke.......Ha ha ha! Nilikuwa nabahatisha kuona kama ulibadili mawazo. Mwenzio nilikuwa nakupima uaminifu, zawadi nilituma kwa S.L.P Lol.
You have been missed more shem.
sweetlady wewe kauka kuna adhabu nitampa huyu dogo Asprin hatosahau kwa kuniita mimi dogo.Umeonae? Yaani ana Kipaji Halisi ..... Sema kaniudhi tu alivomwita Arushaone mdogo wake wakati Arushaone na Kingunge wamepishana mwaka mmoja tu!
Nitafute fasta nikupe!
Aiseeeee! Huyu Arushaone huyu ngoja kwanzaaaaaaaa
Objectiooooooooooooooo
sikuamini wewe
Wewe Ruttashobolwa acha kelele nampa Passion Lady ZAWADI bhana!!!!!!!!!