:A S shade::A S shade::A S shade:
hahahahahahaha....best huwa yananichezaga tu...kwema lkn
hahahahaahahaha...kamanada zingine zinakua "UNLIKE"... ArushaoneHivi Kipaji Halisi kwanini wewe mchoyo sana wa LIKE?
mhhh kumbe ushaota mpaka mvi za kwenye nanihiii
Natengua kauli aise mkuu Arushaone
Ayaa! Niliwamsahau PakaJimmy, LiverpoolFC Lily Flower, Mungi na Filipo kwenye wale wazee wenye umri wa 60+ wanaopaswa kurudi vijijini. Pia wamo wengine ntakutajia later.
huo muda wa kutafuta watu..sidhani km ninao..ila wazima hukoo
hao wote umewazidi umri naona safri ya kijijini imewadia ndio maana pasaka ulienda kuweka makao sawa
hao wadada itabidi niwakague kwanza nna wasiwasi unawasingizia ila nyie kijijini kabla nauli mpya hazijaanza
hao wote umewazidi umri naona safri ya kijijini imewadia ndio maana pasaka ulienda
kuweka makao sawa
hahahahahaha..shikamoo ni utumwa..na ndio inasababisha watu kuwa wanyonge kwa mtu...ukishamuamkia..utashindwa hata kumuhoji kisa mkubwa wake..nakushauri achana na "shikamoo" mkuu@ArushaoneHata shikamoo kwa wazee inaelekea hutoi wewe kijana.