jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,782
Kwani ulikua hujui?hadi mtoto wa chekechea anayo
Chuma chako umemuazima nani?
kiberetta
Mkoa wa Arusha waripotiwa kuongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya raia wanaomiliki silaha aina ya Bastola. Mkoa huo ulio moja ya mikoa ya pembezoni mwa Nchi yaripotiwa kuwa na matukio ya kutishiana bastola hadharani na sehemu za mikusanyiko ya watu.
![]()
CHANZO: Mwananchi.
Mara ya mwisho nilikistua mwaka mpya saa sita usiku.Hii inasaidia sana kupeleka taarifa kwa vijambaz njaa wakiona ungo wa DStv wanajua mwenye nyumba yuko vizuri wanakujaribu lakini wakijua una chuma si rahisi kuyaweka maisha yao reheni.
Wakati mwingine ushamba tu. Unakuta mtu hana kumi lakini ana bastola
umekaa pale 360 eh??