shushushu_mchokozi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 405
- 264
R.I.P
Bwana alitoa,Bwana ametwaa..Jina lake lihimidiwe.
Kila ukinion..ohooo oky..kwanini unaniona hivyo mkuu..
Write your reply...
Nilipigiwa simu jana alfajiri na Jamaangu anayeishi eneo la UsaRiver akaniambia kuwa wako Kilimanjaro International Airport muda wa saa 1.00
Akaniambia kuwa wamefika hapo kuupokea mwili wa Rafiki yetu Freetown ambao umeletwa na Ndege ya Emirates.
Freetown alikuwa mfanyakazi wa UN na alikuwa akiishi Pakistan na kufanyia kazi huko kwa muda mrefu
Taarifa zinasema kuwa Freetown alifariki katikati ya mwezi wa 6, na suala la kuusafirisha mwili wake kumrudisha nyumbani lilikuwa tata kutokana na hali ya usafiri wa ndege lilivyo kwa sasa.
Mwili wa Freetown ulisafirishwa hiyohiyo jana kuelekea kwao Mkoa wa Njombe
Mungu aiweke pema peponi roho ya mwenzetu Freetown.
Kwa masikitiko makubwa tunapenda kuwajulisha members wote kuwa, mwenzetu Freetown hatunae tena,ametwaliwa kutoka kwenye ulimwengu huu.
Kwa members wa zamani, nadhani mtakuwa mnaifahamu hii ID vizuri.
Kwa wale tuliofanikiwa kusafiri pamoja kuelekea Tarangire kipindi kile, niwape pole sana kwa msiba huu.
Member mwenzetu PakaJimmy atakuja kutupa habari kamili kama alivyozipokea.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Apumzike kwa aman......Amen
Prishaz.....@Lily Flower@mwanajamiione@Sahara Voice@Ncha@Derimto@Maxence Melo@Geoff@Asprin@Kaizer
Duh! Poleni sana Arusha Wing, pole kwa familia na JF kwa ujumla!Write your reply...
Nilipigiwa simu jana alfajiri na Jamaangu anayeishi eneo la UsaRiver akaniambia kuwa wako Kilimanjaro International Airport muda wa saa 1.00
Akaniambia kuwa wamefika hapo kuupokea mwili wa Rafiki yetu Freetown ambao umeletwa na Ndege ya Emirates.
Freetown alikuwa mfanyakazi wa UN na alikuwa akiishi Pakistan na kufanyia kazi huko kwa muda mrefu
Taarifa zinasema kuwa Freetown alifariki katikati ya mwezi wa 6, na suala la kuusafirisha mwili wake kumrudisha nyumbani lilikuwa tata kutokana na hali ya usafiri wa ndege lilivyo kwa sasa.
Mwili wa Freetown ulisafirishwa hiyohiyo jana kuelekea kwao Mkoa wa Njombe
Mungu aiweke pema peponi roho ya mwenzetu Freetown.