Laroi Butata
Member
- Oct 28, 2020
- 91
- 103
Zoezi la kuzindua chanjo kwa mkoa wa Arusha hatimaye limefanyika na wananchi kadhaa kuhudhuria tukio hilo lililofanyika katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Arusha.
Katika tukio hilo lililohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa mkoa ikiwepo kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa pamoja na viongozi wa dini limeshuhudiwa wananchi walijitokeza kwa wingi na hatimaye chanjo hiyo kuisha kwa kituo hicho.
Hapa ni baadhi ya picha wakati wa uzinduzi huo.
Mh. John Mongera akiongea na Viongozi na wananchi walijitokeza kupata chanjo, hawapo pichani.
Viongozi na wananchi wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Arusha alipokuwa akiongea na hadhara kabla uzinduzi wa chanjo hiyo ya uviko.
Katika tukio hilo lililohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa mkoa ikiwepo kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa pamoja na viongozi wa dini limeshuhudiwa wananchi walijitokeza kwa wingi na hatimaye chanjo hiyo kuisha kwa kituo hicho.
Hapa ni baadhi ya picha wakati wa uzinduzi huo.
Mh. John Mongera akiongea na Viongozi na wananchi walijitokeza kupata chanjo, hawapo pichani.
Viongozi na wananchi wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Arusha alipokuwa akiongea na hadhara kabla uzinduzi wa chanjo hiyo ya uviko.