mkuu sijui kwa nini watu hawaoni kuwa Lowasa is already dead living... amechoka hata body gesture yake imedhihirika haina mawasiliano thabiti kati ya brain na viungo vingine.
Kingune anaonekana kijana kuliko Lowasa
wanaoojiita shirikisho la walimu dar es salaam eti nao wameenda wakiamini lowasa ni mkombozi wao. hii mzigo mizito.
....yaaani idadi ya wakiofika toka kila kona ya nchi haizidi hata mkutano mmoja wa Godbless Lema ambao anaweza kuuandaa kwa siku moja na nyomi ikawa kubwa kuliko hii, kwa mtazamo wangu investment ya lowasa is not equivalent to the number of people ...
Wacha uwongo mkuu. Nyomi la aina ya leo ni la pekee sio Arusha bali Tanzania nzima kwa chama cha siasa. Najua Unaweweseka breath brother breath. Gemu ndio imeisha mkuu.
Sijui alipanick. Hakuonesha manjonjo wanayoonesha wengine. Alikuwa kama raid anayehutubia wananchi tena aliyechoka. Alitakuwa ile hotuba aikariri kisha aizungumze bila kuisoma. Hilo lilimshinda. Halafu hakuwa akiweza kutamka maneno.kwa ufasaha. Kwa ujumla.hakuwa kivutio.
dahhhh!!
sawa yeye ni mfu anayetembea wewe je?
achen kusema vibaya nammin wewe ungejua mnganga ungeenda kumpoteza kabisa
ivi hakuna sera ingijne ya kushikilia adi uone afya yake ndo sera?
Wacha uwongo mkuu. Nyomi la aina ya leo ni la pekee sio Arusha bali Tanzania nzima kwa chama cha siasa. Najua Unaweweseka breath brother breath. Gemu ndio imeisha mkuu.